Ramadhan aelezea ubingwa wake
Bingwa wa medali ya dhahabu wa mbio ndefu za Bamako Marathon, Samson Ramadhan amesema alimpa nafasi kubwa ya kushinda mpinzani wake David Nthiga wa Kenya aliye kuwa mbele tangu mwanzo wa mbio hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Aelezea kwa nini alikata uume wake
11 years ago
Bongo528 Jul
Dully Sykes aelezea maana ya wimbo wake ‘Togola’
9 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-ERqmxo38YMQ/VexLqnijYII/AAAAAAAAxNw/YK6kDb7h64c/s72-c/1441549221074.jpeg)
JUMA NATURE AELEZEA MSIMAMO WAKE WA KUFANYA KAMPENI
![](http://lh3.googleusercontent.com/-ERqmxo38YMQ/VexLqnijYII/AAAAAAAAxNw/YK6kDb7h64c/s640/1441549221074.jpeg)
Nature amesema kuwa mziki ambao anaufanya ni...
10 years ago
Vijimambo18 Feb
DULLY SYKES AELEZEA MCHANGO WA BABA YAKE KATIKA MUZIKI WAKE
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/dullynababaake.jpg)
Kutokana na Msiba huo Tokea Juzi simu ya Dully Imekuwa haipatikani Ila leo @DjHaazu wa @MamboJamboRadio amempata na Kupiga naye Story mbili tatu kuhusiana na Marehemu Mzee Sykes kwa kifupi.Katika Mazungumzo yake Dully ameeleza kuwa Mzee Wake alikuwa anaugua Muda mrefu na...
9 years ago
Bongo511 Dec
Khadija Mwanamboka aelezea mafanikio ya mgahawa wake wa VVK na mipango ya mwakani
![4K0A5045](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/4K0A5045-300x194.jpg)
Mjasiriamali na mbunifu wa mavazi nchini, Khadija Mwanamboka amesema ubunifu anaoutumia kwenye mavazi, aliuhamishia kwenye biashara yake ya mgahawa wa vyakula ‘VVK’ ndio maana mwezi huu unatimiza mwaka mmoja ukiwa na mafanikio makubwa.
Khadija ameiambia Bongo5 kupitia mgahawa huo wa VVK ambacho ni kirefu cha Vitu Vya Khadija uliopo Block 41 Kinondani, jijini Dar es salaam, amesema dani ya mwaka mmoja ameweza kuvuka matarajio ya kuwafikia wateja wengi zaidi.
“Nimeamua kuwa serious kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dZGLY0Odl9I/default.jpg)
RAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11737180_920557287983039_2068690925_n1.jpg)
Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LLAxWB_gVQ4/XlLdh2hK3ZI/AAAAAAALe8g/ZL7nq3LYIaI4G7auGVb3xfCYvEe-PS6jwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0802AA-1024x684.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZINDUA CHETI CHA UHALISI WA MADINI YA BATI...AELEZEA UMUHIMU WAKE KWA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LLAxWB_gVQ4/XlLdh2hK3ZI/AAAAAAALe8g/ZL7nq3LYIaI4G7auGVb3xfCYvEe-PS6jwCLcBGAsYHQ/s320/PMO_0802AA-1024x684.jpg)
Amezidua cheti hicho cha uhalisi wakati wa mkutano wa wawekezaji katika sekta ya madini hapa nchini mkutano uliofanyika leo Februari 23,mwaka 2020 katika Kituo cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere jijini Dar ea Salaam.
Nchi mbalimbali zimepata Cheti cha halisi wa madini ya Bati ambazo ni Uganda, Burundi,...
10 years ago
Bongo519 Aug
Exclusive: Q-Chief aelezea kusaini mkataba na kampuni mpya, majaribu, alichojifunza na ujio wake kama msanii aliyebadilika (Video)
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Kiongozi wa Freemason aelezea alivyochumbia