Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete acharuka kuhusu maabara

Rais Jakaya Kikwete akiwa na Mbunge wa Lushoto, Henry Shekifu (kushoto) na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba (kulia) baada ya kuhutubia wananchi katika mkutano wa hadhara Jimbo la Bumbuli wilayani Lushoto jana. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete ameagiza ifikapo Novemba mwaka huu, shule zote za sekondari nchini, ziwe na maabara kwa ajili ya masomo ya sayansi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chadema waichana Serikali kuhusu maabara

Wabunge wa Kenya kupitia Chama cha ODM wameeleza kushangazwa kwao kwa kuona Watanzania wanachangia fedha kwa ajili ya kununua madawati, wakati nchini yao ina maliasili nyingi walizosema zingetosha kufanya maendeleo bila wao kuchangishwa.

 

10 years ago

Habarileo

Maabara za ‘Kikwete’ zamhamisha ofisi DC

Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Deodatus Kinawiro ILI kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete la kusimamia ujenzi wa maabara katika shule za sekondari kabla ya mwishoni mwa mwaka huu, Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Deodatus Kinawiro amelazimika kuihama kwa muda ofisi yake na kuzunguka katika shule mbalimbali wilayani mwake.

 

10 years ago

Habarileo

17 ‘jela’ kwa uzembe maabara za Kikwete

MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa maabara za shule za sekondari.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete aongeza muda ujenzi wa maabara

Rais Jakaya Kikwete ameongeza miezi sita ya kukamilisha ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini, baada ya muda wa miaka miwili alioutoa awali kumalizika Novemba 30, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara

Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.

 

9 years ago

Habarileo

Mwigulu acharuka

WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu N c h e m b a amesema hakutakuwa na msamaha na huruma kwa watakaobainika kuhujumu sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri Nyalandu acharuka

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ameifutia umiliki wa vitalu vitatu kampuni ya Green Miles Safaris Ltd pamoja na vibali vya uwindaji kwa kuvunja sheria ya uhifadhi wa wanyamapori.

 

11 years ago

Habarileo

Profesa Muhongo acharuka

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema baadhi ya kampuni zinazotumiwa na Wakala wa Nishati Vjijini (REA) kuwaunganishia umeme wakazi wa vijijini, zinaomba rushwa, hivyo kuwaondolea matumaini ya kuondokana na umasikini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani