Kikwete acharuka kuhusu maabara
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza ifikapo Novemba mwaka huu, shule zote za sekondari nchini, ziwe na maabara kwa ajili ya masomo ya sayansi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Chadema waichana Serikali kuhusu maabara
10 years ago
Habarileo14 Oct
Maabara za ‘Kikwete’ zamhamisha ofisi DC
ILI kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete la kusimamia ujenzi wa maabara katika shule za sekondari kabla ya mwishoni mwa mwaka huu, Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Deodatus Kinawiro amelazimika kuihama kwa muda ofisi yake na kuzunguka katika shule mbalimbali wilayani mwake.
10 years ago
Habarileo27 Nov
17 ‘jela’ kwa uzembe maabara za Kikwete
MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa maabara za shule za sekondari.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais Kikwete aongeza muda ujenzi wa maabara
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
9 years ago
Habarileo03 Jan
Mwigulu acharuka
WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu N c h e m b a amesema hakutakuwa na msamaha na huruma kwa watakaobainika kuhujumu sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi nchini.
11 years ago
Habarileo12 Jul
Waziri Nyalandu acharuka
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ameifutia umiliki wa vitalu vitatu kampuni ya Green Miles Safaris Ltd pamoja na vibali vya uwindaji kwa kuvunja sheria ya uhifadhi wa wanyamapori.
11 years ago
Habarileo02 Feb
Profesa Muhongo acharuka
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema baadhi ya kampuni zinazotumiwa na Wakala wa Nishati Vjijini (REA) kuwaunganishia umeme wakazi wa vijijini, zinaomba rushwa, hivyo kuwaondolea matumaini ya kuondokana na umasikini.