Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILIMANJARO STUDIO YATEMBELEWA NA WAGENI


 Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifanyiwa mahojiano siku ya Jumatatu July 27, 2015 ndani ya studio ya Kilimanjaro Beltsville, Maryland na mtangazaji wa mahiri wa Radio Mubelwa Bandio katika kipindi chake cha Jukwaa Langu kinachorushwa Live kila siku ya Jumatatu kuanzia saa 12jioni mpaka saa 2 usiku. Mtangazaji mahiri Mubelwa Bandio akipata picha ya kumbu kumbu na Mhe. Balozi Amina Salum Ali ambaye alishika namba mbili katika kinyang'anyiro cha kubeba bendera ya CCM katika kiti cha Urais. Rose...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

THE ONE MIC SHOW NDANI YA KILIMANJARO STUDIO


 One Mic akiweka mambo sawa kabla ya kipichi cha One Mic Show hakijaruka hewani siku ya Ijumaa Aug 21, 2015. One Mic  ndiye mwenyeji wa kipindi cha one mic show kinachoruka LIVE kila siku ya Ijumaa kutoka Kilimanjaro Studia kuanzia saa 2 usiku kwa saa ya Amerika ya Mashariki  Ally Badawi aka mjuu wa masai akijiweka tayari kwenye kipindi cha One Mic Show Ally Badawi akipata picha na wageni waalikwa Linda wa Motomoto Kitchen kutoka Delaware na Patrick Kajale kutoka DMV. Linda alizungumzia kazi...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI LIBERATA MULAMULA ATINGA NDANI YA STUDIO YA KILIMANJARO

 Balozi Liberata Mulamula akiwasili nje ya jengo lenye studio ya Kilimanjaro tayari kuongea LIVE katika kipindi cha Jukwaa langu kinachorushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2 usiku saa za Mashariki za Marekanui. anayemfungulia mlango ni Abdul Malik Balozi Liberata Mulamula akiingia ndani ya studio akiwa amesindikizwa makamu wa Rais wa Jumuiya ya DMV Bi. Harriet Shangarai (kushoto) ambaye pia ni Mkurugenzi wa studio hiyo, kulia ni Afisa Ubalozi Swahiba Mdeme na Abdul...

 

9 years ago

Vijimambo

ONE MIC SHOW LIVE FROM KILIMANJARO STUDIO BELTSVILLE, MARYLAND

   

Broadcast live streaming video on Ustream

 

9 years ago

Michuzi

KILIMANJARO STUDIO INAWATAKIA KHERI YA SIKUKUU YA MAULID, CHRISTMAS NA MWAKA MPYA

Nesi WanguKilimanjaro Studio iliyopo Beltsville, Maryland inatoa salamu za kheri ya sikukuu ya Maulid, Christmas na mwaka mpya kwa wadau wote wa Vijimambo Blog, Kwanza Production na Nesi Wangu Blog. Sikukuu iwe ya upendo na amani na muweze kusherehekea kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016.Kama hukutimiza malengo mwaka 2015 usijali mwaka 2016 ni mwaka wa kujipanga upya na Kilimanjaro studio inakutakia kila la kheri kwa mwaka mpya 2016 uwe mwaka wa mafanikio makubwa kwako na kumwomba Mwenyezi...

 

9 years ago

Vijimambo

Reggae Time Sept 26 2015 toka Kilimanjaro Studio......Live performances

Photo Credits: Afrikanheritage.com
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA SINEMA WA BONGO MOVI CHARLES MAGALI ATEMBELEA KILIMANJARO STUDIO, WASHINGTON, DC.

 Kutoka kushoto ni One Mic akiwa pamoja na Dj MO ndani ya studio ya Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland nchini Marekani. Mcheza sinema wa Bongo Movi, Charles Magali ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za dansi(kushoto) akiwa na mwenyeji wake Kenyatta wakiwa ndani ya Studio ya Kilimanjaro. Charles Magali akifanyiwa mahojiano na matangazaji mahairi wa Radio Mubelwa Bandio ndani ya studio ya Kilimanjaro iliyopo Beltsville, Maryland. Mtangazaji mahiri wa Radio na muuliza maswali tata, Mubelwa...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI LIBERATA MULAMULA KUAGANA NA WANADIASPORA LIVE NDANI YA STUDIO YA KILIMANJARO JUMATATU

JUKWAA LANGU kutoka Kwanza Production, Vijimambo Radio na Border Media Group. Kipindi kipya kinachorushwa LIVE kila siku ya Jumatatu kuanzia saa 12 kamili jioni (6:00pm) EST kwa saa za Marekani ya Mashariki.JUKWAA LANGU ni kipindi kiinachozungumzia mambo mbalimbali yanayotokea Duniani ikiwemo maswala ya siasa na kuangalia mstakabali wa nchi yetu kuelekea uchaguzi na kupata fulsa ya kuongea na watu mbalimbali ndani na nje ya Marekani

 Piga simu 240 281 0574 utuambie ni nini maoni yako kwa...

 

5 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA CCBRT YATEMBELEWA NA MAAFISA WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

HOSPITALI ya CCBRT wametembelewa na Maafisa kutoka ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali hapa nchini, kwa lengo la kujionea kazi zinazofanywa na CCBRT. 
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi, aliwapitisha katika maeneo kadha na vitengo tofauti katika hospitalini hiyo ili kujionea namna wanavyofanya kazi na kuwahudumia watanzania.
Hata hivyo Maafisa kutoka ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali hapa nchini wamefurahishwa na kazi tunazozifanywa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani