Killo: Tutaitumikia Malamba Mawili kwa kiwango ili wengine watuige
Ahmed Waziri Killo ndiye Mwenyekiti mpya mteule wa Mtaa wa Malamba Mawili, Dar es Salaam. Anatangazwa mshindi baada kumbwaga mpinzani wake Anatory Mulokozi waa CCM kwa zaidi ya kura 300. Yeye aligombea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWatu watatu wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika ajali ya magari mawili
Watu watatu wamefariki Dunia baada ya Magari mawili yenye tela kila moja kuacha njia na kupinduka na kufasabisha vifo vya watu hao na kujeruhi wengine wawili katika ajali iliyotokea Jana Huko Tarafa ya Rondo wilaya ya Lindi Mkoani Lindi.
Ajali hiyo Iliyohusisha gari aina ya HOWO lenye Usajili T270BZU na Tela na T260AZU Pamoja na Lori aina HOWO T871 BTH Tela T 626 BTT yote yaliacha njia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi kamishna msaidizi Renatha Mzinga amethibitsha...
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Tunaegesha basi mbele ya goli letu ili wengine wasifunge bao
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
MichuziTIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM
Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
11 years ago
GPLYanga watoa masharti mawili kwa Waghana
10 years ago
CloudsFM23 Dec
ZUMA, KIKWETE WAKUTANA KWA MASAA MAWILI
RAIS Jakaya Kikwete amekutana na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma na kufanya mazungumzo ya ndani na kiongozi huyo aliyewasili nchini juzi.
Rais Zuma aliwasili Ikulu Dar es Salaam jana majira ya saa 4 asubuhi na kupokewa na Rais Kikwete kabla ya kufanya mazungumzo hayo yaliyochukua takribani saa moja na dakika 45.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Dar es Salaam jana, ilibainisha kuwa mazungumzo baina ya viongozi hao wawili, yalihusu uhusiano kati ya Tanzania na Afrika...
9 years ago
StarTV18 Sep
Diwani CHADEMA Ubungo kizimbani kwa makosa mawili
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imempandisha Kizimbani Diwani wa Kata ya Ubungo Kisiwani kwa tiketi ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo CHADEMA Boniphace Jacob kwa makosa mawili la kwanza likiwa ni kumshambulia Mwandishi wa Habari wa Gazeti wa Uhuru Christopher Lissa.
Kosa la pili analokabiliwa nalo ni kuharibu Kamera ya Picha Mnato aina ya Nicon yenye thamani ya Shilingi Milioni Nane, Mali ya Kampuni ya Uhuru Publisher Limited.
Katika Kesi hiyo Wakili wa Serikali,...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Jaji Lubuva, NEC ni huru kwa kiwango gani?
HIVI karibuni asasi ya walimu wa somo la uraia nchini (CETA) ikisihirikiana na asasi kutoka Ujerumani yenye makazi nchini ya Konrad Adenauer Stiftung (KAS) waliandaa kongamano la siku moja, ili...
10 years ago
Vijimambo05 Feb
SAMATTA: sikubali, kwa kiwango changu Ulaya pananihusu
Straika huyo amejipatia umaarufu mkubwa miaka ya hivi karibuni kutokana na umahiri wake uwanjani hasa katika kufunga mabao. Anayafanya haya akiwa na klabu yake ya TP Mazembe pamoja na timu ya Taifa Tanzania.HAKUNA ubishi kwamba straika wa TP Mazembe na Taifa Stars, Mbwana Samatta, ndiye mwanasoka mahiri wa Tanzania katika zama hizi. Wapo wengi wanaotamba, lakini Samatta ni funga kazi kwa sasa.
Straika huyo amejipatia umaarufu mkubwa miaka ya...