Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIMARO: VICOBA suluhisho la umaskini nchini

ALIYEKUWA  mbunge wa Jimbo la Vunjo, Aloyce Kimaro, ametoa wito kwa wananchi kujiunga kwenye benki za kijamii vijijini (VICOBA) kama njia ya kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini. Kimaro alitoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TISEI na suluhisho tatizo la ajira nchini

LICHA ya uchumi wa Tanzania kuelezwa kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa nguvu inayokua kwa haraka....

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA

Mratibu wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akimkaribisha mgeni rasmi wa uzinduzi wa Kana vicoba Group Bw Aloyce Ntukamazina kwa kumueleza machache kabla ya uzinduzi rasmi, aliye katikati ni meneja wa GEPF mkoa wa kinondoni Bw Mohammed Nyallo.Mratibu wa Umoja wa Vikoba wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akelezea mafanikio na matarajio ya Umoja wa Uyacode wenye jumla ya wanachama 27,000 na ofisi katika mikoa 18 ya Tanzania Bara na mmoja wa Zanzibar Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?

Mara kadhaa, watu wa kada mbalimbali wakizungumzia tatizo la ajira nchini, baadhi ya viongozi wa serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

 

10 years ago

Michuzi

Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.

Na Eleuteri Mangi- Dodoma 28/11/2014. Serikali imesema kuwa VICOBA ni taasisi binafsi inayomilikiwa na wananchi wenyewe vikiwa ni miongoni mwa tasisi ndogo za kifedha ambazo ni za kibinafsi na huanzishwa, kuendeshwa na kusimamiwa ama kijijini, kitongojini na hata kwenye kata.
Hayo yamebainishwa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David Mwakyusa (CCM) ambaye alitaka kujua kama Serikali inatambua VICOBA ...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE: KIFUNGO CHA NJE SULUHISHO MSONGAMANO MAGEREZANI NCHINI

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii kabla ya kuzindua Kamati hiyo, jijini Dodoma, leo, ambayo itasimamia Utekelezaji wa Sheria ya Huduma kwa Jamii inayotoa fursa kwa wafungwa wa vifungo vidogo kutumikia adhabu hizo kwenye jamii. Pia Waziri huyo ameitaka Kamati hiyo, iweke mikakati zaidi ya kusimamia adhabu mbadala ya kifungo cha nje ili kuondoa msongamano magerezani. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

 

11 years ago

Michuzi

MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA

MKE WA WAZIRI MKUU Mama Tunu Pinda wataalamu wamesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayo kuwa kwa kasi hapa nchini ni VICOBA.
Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...

 

9 years ago

Mwananchi

Rungwe, mgombea urais anayelia na umaskini nchini

Hashim Rungwe alipojitokeza kugombea urais mwaka 2005 kupitia NCCR-Mageuzi ni kama alikuwa anapima uwezo wa kuongoza na kukubalika kwake katika jamii. Watu waliojitokeza katika mikutano yake ilikuwa chachu kwake na kuangalia uwezekano wa kuanzicha chama.

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa ni kichocheo kikubwa cha umaskini nchini

Rushwa ni miongoni mwa sababu au vichocheo vikubwa vya umasikini hapa nchini. Siyo kichocheo cha umasikini tu, bali pia ni kikwazo kikubwa cha maendeleo.

 

9 years ago

GPL

DIANA KIMARO CHUPUCHUPU KUBAKWA

 Diana Kimaro ‘Pacha wa Lulu’ Kisa pombe! Habari ya kushtua inaeleza kwamba, mwigizaji katika tasnia ya filamu Bongo, Diana Kimaro ‘Pacha wa Lulu’ amekiri kunusurika kubakwa na msanii mwenye hadhi na ‘taito’ kubwa katika gemu la sanaa Bongo (hakumtaja), chanzo kikiwa ni ulabu. Akizungumza na Ijumaa Wikienda jijini Dar, wikiendi iliyopita, Diana alifunguka kuwa, tukio hilo lilijiri maeneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani