KIMARO: VICOBA suluhisho la umaskini nchini
ALIYEKUWA mbunge wa Jimbo la Vunjo, Aloyce Kimaro, ametoa wito kwa wananchi kujiunga kwenye benki za kijamii vijijini (VICOBA) kama njia ya kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini. Kimaro alitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
TISEI na suluhisho tatizo la ajira nchini
LICHA ya uchumi wa Tanzania kuelezwa kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa nguvu inayokua kwa haraka....
9 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?
Mara kadhaa, watu wa kada mbalimbali wakizungumzia tatizo la ajira nchini, baadhi ya viongozi wa serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s72-c/02%2B(1).jpg)
Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s1600/02%2B(1).jpg)
Hayo yamebainishwa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David Mwakyusa (CCM) ambaye alitaka kujua kama Serikali inatambua VICOBA ...
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE: KIFUNGO CHA NJE SULUHISHO MSONGAMANO MAGEREZANI NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s72-c/images.jpg)
MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s1600/images.jpg)
Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Rungwe, mgombea urais anayelia na umaskini nchini
Hashim Rungwe alipojitokeza kugombea urais mwaka 2005 kupitia NCCR-Mageuzi ni kama alikuwa anapima uwezo wa kuongoza na kukubalika kwake katika jamii. Watu waliojitokeza katika mikutano yake ilikuwa chachu kwake na kuangalia uwezekano wa kuanzicha chama.
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Rushwa ni kichocheo kikubwa cha umaskini nchini
Rushwa ni miongoni mwa sababu au vichocheo vikubwa vya umasikini hapa nchini. Siyo kichocheo cha umasikini tu, bali pia ni kikwazo kikubwa cha maendeleo.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65gpfcg6iJTkLWlNELZp3YZkvBSvo7crJZG3*PAIk1hQCxE58aqKSFUe2cM0ZvyrVXXzT0FImmfrcbJ8-o7orUM/diana.jpg)
DIANA KIMARO CHUPUCHUPU KUBAKWA
 Diana Kimaro ‘Pacha wa Lulu’ Kisa pombe! Habari ya kushtua inaeleza kwamba, mwigizaji katika tasnia ya filamu Bongo, Diana Kimaro ‘Pacha wa Lulu’ amekiri kunusurika kubakwa na msanii mwenye hadhi na ‘taito’ kubwa katika gemu la sanaa Bongo (hakumtaja), chanzo kikiwa ni ulabu. Akizungumza na Ijumaa Wikienda jijini Dar, wikiendi iliyopita, Diana alifunguka kuwa, tukio hilo lilijiri maeneo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10