Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TISEI na suluhisho tatizo la ajira nchini

LICHA ya uchumi wa Tanzania kuelezwa kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa nguvu inayokua kwa haraka....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?

Mara kadhaa, watu wa kada mbalimbali wakizungumzia tatizo la ajira nchini, baadhi ya viongozi wa serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hakuna tatizo la ajira nchini bali fikira bila tafakuri

KWA sasa kilio kilichotanda nchini ni cha ukosefu wa ajira. Vijana wengi, hasa wanaomaliza elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, wanalia na wanachokiita ukosefu wa ajira. Wao wanataka wakimaliza masomo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KIMARO: VICOBA suluhisho la umaskini nchini

ALIYEKUWA  mbunge wa Jimbo la Vunjo, Aloyce Kimaro, ametoa wito kwa wananchi kujiunga kwenye benki za kijamii vijijini (VICOBA) kama njia ya kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini. Kimaro alitoa...

 

9 years ago

Mwananchi

Juhudi zinahitajika kutatua tatizo la ajira

Tatizo la ajira hapa nchini limekuwa likiumiza vichwa vya vijana wengi hasa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu vya ndani na nje ya nchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tatizo la ajira kwa watoto migodini TZ

Tatizo la ajira za watoto migodini. Je serikali inaweza vipi kuhakikisha ajira hizi zinakomeshwa.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE: KIFUNGO CHA NJE SULUHISHO MSONGAMANO MAGEREZANI NCHINI

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii kabla ya kuzindua Kamati hiyo, jijini Dodoma, leo, ambayo itasimamia Utekelezaji wa Sheria ya Huduma kwa Jamii inayotoa fursa kwa wafungwa wa vifungo vidogo kutumikia adhabu hizo kwenye jamii. Pia Waziri huyo ameitaka Kamati hiyo, iweke mikakati zaidi ya kusimamia adhabu mbadala ya kifungo cha nje ili kuondoa msongamano magerezani. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

 

10 years ago

GPL

MAKONDA AKUTANA NA VIJANA KUTATUA TATIZO LA AJIRA

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na vijana wahitimu wa vyuo waliohudhuria mkutano huo. Makonda akionesha msisitizo wa jambo.    Vijana wahitimu wa vyuo…

 

9 years ago

Mwananchi

SHERIA NGOWI : Nitaisaidia Serikali kupunguza tatizo la ajira

Ni nembo iliyojizolea umaarufu mkubwa duniani. Imewahi kuvaliwa na watu maarufu wakiwamo Rais Jakaya Kikwete pamoja na rais Edgar Lungu wa Zambia, si ajabu kusikia nembo hii ikivalisha mawaziri na hata Rais mpya wa nchi hii.

 

11 years ago

GPL

AJIRA KWA WATOTO BADO TATIZO KUBWA MASASI

Mtoto anayesoma darasa la pili wilayani Masasi, Mtwara akifanya biashara ya kuuza mayai ambayo ametumwa na mzazi wake. (Picha na Mdau kutoka Masasi)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani