Kinara wa ugaidi auawa Arusha
JESHI la polisi Mkoa wa Arusha limemuua kwa kumpiga risasi mtuhumiwa wa ugaidi, Yahaya Hassan Omari Hela (31) ‘Yahaya Sensei’ mkazi wa Mianzini mjini hapa. Mtuhumiwa huyo alipigwa risasi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtuhumiwa wa matukio ya ugaidi auawa Arusha
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Watuhumiwa ugaidi Arusha kizimbani leo
WATUHUMIWA 19 waliokamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha wakihusishwa na matukio mbalimbali yanayoashiria ugaidi, ikiwemo milipuko ya mabomu na umwagiaji tindikali, wanatarajiwa kupanda kizimbani leo katika Mahakama ya Hakimu...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Sita washtakiwa kwa ugaidi Arusha
WATUHUMIWA sita wanaodaiwa kurusha bomu katika mgahawa wa Vama Tradition jijini Arusha, Julai 7, mwaka huu, na kusababisha watu wanane kujeruhiwa huku mmoja wao akikatwa mguu, wamepandishwa kizimbani na kusomewa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5XPNW46hzfwV*Vxeu4FsXKb88EO2QwmkeTPvEJU5sTxgBbk-mmddZp*OB9mjIOlVmP9ZqXHmxXU4wD5YCYOov0/IMG20140801WA0008.jpg?width=650)
WATUHUMIWA 19 WA UGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI JIJINI ARUSHA
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Mtuhumiwa wa ugaidi Arusha afariki mikononi mwa polisi
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Watuhumiwa ugaidi Arusha: Askari zaidi ya 100 wamwagwa mahakamani
![Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ugaidi-arusha2.jpg)
Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
ELIYA MBONEA NA JANETH MUSHI, ARUSHA
ULINZI mkali jana uliimarishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati watuhumiwa wa vitendo vya ulipuaji mabomu jijini hapa walipofikishwa mahakamani.
Askari wasiopungua 100 wakiwamo wenye mbwa, askari wa usalama wa taifa, magereza,...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Aua mkewe naye auawa Arusha
10 years ago
Habarileo21 Oct
Mtuhumiwa matukio ya kigaidi Arusha auawa
MTUHUMIWA wa ugaidi, Yahaya Hassan Hela (31) maarufu kwa jina la Yahaya Sensei, ambaye inadaiwa kuwa ni kinara na mwasisi wa matukio tisa ya ulipuaji wa mabomu na umwagiaji wa tindikali maeneo mbalimbali nchini, ameuawa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha.