Kituo chatunukiwa cheti
Kituo cha Mafunzo cha Benki ya Exim Tanzania maarufu Exim Academy, kimetunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango (ISO 9001:2008) ikiashiria ubora wa mafunzo yatolewayo na kituo hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Kituo cha Exim Academy chatunukiwa cheti cha ubora
KITUO cha mafunzo cha Benki ya Exim ya Tanzania, ‘Exim Academy’ kimetunukiwa Cheti cha Kimataifa cha Ubora wa Viwango (ISO 9001:2008) kutokana na mafunzo bora wanayoyatoa. Kituo hicho kilizinduliwa na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe.
BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo nilichopiga kura mimi. Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe. Kituo namba 1. Kura za Maalim Seif ni 317 na za Dk Shein ni 5. Kituo namba […]
The post BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
10 years ago
Habarileo22 Oct
Ualimu ngazi ya cheti wafutwa
SERIKALI imefuta rasmi mafunzo ya ualimu ngazi ya Cheti yaliyokuwa yakitolewa katika Vyuo vya Ualimu Daraja la A vilivyopo sehemu mbalimbali nchini. Kufuatia kufutwa kwa mafunzo ya cheti, watakaochukuliwa kwa ajili ya masomo ya ualimu kwenye vyuo vya ualimu wa diploma ni waliopata daraja la tatu na kuendelea na watakapohitimu mafunzo ya miaka miwili ya Diploma (Stashahada) ya ualimu watapangiwa kufundisha kuanzia shule za awali za serikali, msingi na sekondari.
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo
Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.
Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.
Bajaji zikiendelea na Kazi.
Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Dk Magufuli akabidhiwa cheti cha ushindi
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
TCRA yapata cheti cha kimataifa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetakiwa kuongeza juhudi katika kuboresha sekta hiyo, baada ya kukabidhiwa cheti cha kiwango cha kimataifa na Shirika la Viwango Duniani. Cheti hicho kilikabidhiwa jijini Dar...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
VitaFoam wapata cheti cha ubora
KAMPUNI ya VitaFoam inayotengeneza magodoro, imepokea cheti cha ubora na uthibitisho wa viwango vya kimataifa kutoka Shirika la Viwango vya Kimataifa (ISO) 9001:2008 kinachotambulika kimataifa baada ya kutimiza viwango vya...