Kiwango Stars chakera Watanzania
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KIWANGO kibovu kilichoonyeshwa na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwenye mchezo wa kwanza wa michuano ya Mataifa ya Kusini mwa Afrika (Cosafa) dhidi ya Swaziland kimekera Watanzania wengi, hasa baada ya kupoteza kwa kufungwa bao 1-0.
Bao hilo pekee la Swaziland lilifungwa na beki wa kulia, Simbizo Mabila, aliyewahadaa mabeki wa Stars na kupiga shuti lililomshinda kipa, Deogratius Munishi ‘Dida’.
Matokeo hayo yamewaumiza Watanzania wengi nchini,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Mkwasa asifia kiwango Stars
KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Boniface Mkwasa ameelezea kufurahishwa na matokeo waliopata juzi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) dhidi ya Nigeria katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Timu hizo zilitoka sare ya 0-0. Stars wapo nafasi ya tatu katika kundi D baada kupata pointi moja katika michezo miwili waliocheza. Awali walicheza na Misri na kufungwa mabao 3-0 ugenini.
Mkwassa alisema amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Nahodha Stars aridhishwa kiwango
KIKOSI cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kinatarajiwa kurejea nchini leo jioni huku nahodha wake, Aggrey Morris, akieleza kuridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na wachezaji wote. Nahodha huyo, aliyasema hayo jijini...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Jaji Sambo akunwa kiwango Taifa Stars
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, Mwakipombe Sambo ameimwagia sifa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuwa ilionesha mchezo mzuri wa kuvutia licha ya kutoka sare dhidi ya Nigeria, Super Eagles katika mechi ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Kiwango cha wachezaji Taifa Stars chamkuna Mkwassa
9 years ago
Habarileo25 Aug
Kocha Twiga Stars afurahia kiwango cha wachezaji wake
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya ‘Harambee Starlets’ umemsaidia kugundua makosa ambayo atayafanyia kazi.
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/NGASSA-MRISHO.jpg)
Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QVqMmwKHV3o/Vlf-vM7t2wI/AAAAAAAIIi4/Odw4ZX3_xO8/s72-c/kamatistars.png)
KAMATI YA TAIFA STARS, YAWASHUKURU WATANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVqMmwKHV3o/Vlf-vM7t2wI/AAAAAAAIIi4/Odw4ZX3_xO8/s640/kamatistars.png)
Farough alianza kwa kuwashukuru watanzania kwa kujitokeza kwa wingi katika mechi ya Taifa Stars na Algeria na kuwashukuru pia wale wote waliosafiri na timu hiyo ya Taifa, Taifa Stars kwenda Algeria katika mechi ya marudiano.
Pia Mwenyekiti amechukua fursa hiyo...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Kocha;Taifa Stars awashukuru watanzania
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s72-c/Mkwasa1001.jpg)
MKWASA KUINOA STARS, NOOIJ AWAAGA WATANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s400/Mkwasa1001.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya Tansoma, Malinzi amesema wameamua kuagana nae mbele ya vyombo ya habari kama iliyofanyika pia wakati wa utambulisho wake wakati wa kuanza kazi.
“Mpira wa miguu unachangamoto nyingi, watanzania tunasafari ndefu katika...