KNCU Moshi taabani kifedha
Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Mkoa Kilimanjaro (KNCU), kimeelemewa na mzigo wa madeni na sasa kimeamua kuuza sehemu ya mali zake kulipa madeni hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 May
Serikali taabani kifedha
10 years ago
Mtanzania23 Mar
UDA taabani kifedha
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAKATI Serikali ikitafakari kulipatia Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) haki ya kuendesha mradi mkubwa wa mabasi yaendayo kasi katika Jiji la Dar es Salaam, kuna habari kuwa shirika hilo linaelekea kufilisika.
Habari za uhakika kutoka ndani ya shirika hilo zimebainisha kuwa kwa sasa UDA liko katika hali mbaya kifedha kiasi cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha, ikiwamo kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara.
Chanzo hicho cha habari...
11 years ago
Habarileo18 Dec
Shirika la Reli taabani kifedha
WIZARA ya Uchukuzi, imebainisha wazi kuwa hali ya kifedha ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) si nzuri kiasi cha kushindwa hata kukarabati kwa muda mrefu vituo vyake ambavyo kwa sasa vina hali mbaya.
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Vikundi vya vicoba Moshi sasa taabani
10 years ago
Mwananchi27 Oct
KNCU wamlaumu mrajisi wa vyama
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
KNCU yalia na ofisi ya Mrajisi
CHAMA Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU), kimeishutumu ofisi ya Mrajisi wa vyama vya ushirika nchini kikidai ni kikwazo katika ustawi wa ushirika kutokana na kuyumba katika utoaji wa uamuzi. Shutuma hizo...
11 years ago
Habarileo27 Jan
Serikali kuilipa KNCU mil. 225/-
SERIKALI imekubali kulipa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) 1984, Sh milioni 255. 1, kusaidia chama hicho kufidia hasara iliyotokana na mdororo wa uchumi duniani.
10 years ago
MichuziKNCU WAINGIZA MTAMBO MPYA WA KUKOBOLEA KAHAWA
BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi01 Feb
KNCU yazidi kuing’ang’ania Serikali