Kocha Kim sasa aibukia Rwanda
Rais wa Shirikisho la Soka la Rwanda (Ferwafa), Vincent Nzamwita amethibitisha kwamba wapo katika mazungumzo na kocha Kim Poulsen ili awe mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho hilo na anatarajiwa kuanza kazi Novemba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Jenerali Mwamunyange sasa aibukia Ngerengere.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Rais Kikwete alisema kuwa katika miaka 10 ya uongozi wake, amefanya mambo mengi kwa Watanzania pamoja na kuliacha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) likiwa katika hali nzuri ya kiutendaji.
Alisema hakuna nchi inayoweza kupata maendeleo...
10 years ago
GPL
Kim Poulsen kocha mpya Simba
Kim Polusen raia wa Denmark. Na Ezekiel Kitula
SIMBA imeamua kufanya mabadiliko kwa kumtwaa kocha Kim Polusen raia wa Denmark katika nafasi ya Mzambia, Patrick Phiri.Simba imeingia kwenye harakati za kumng’oa Phiri ambaye ameiongoza Simba katika mechi sita tu za Ligi Kuu Bara na zote ametoka sare. Simba imefunga mabao sita, imefungwa sita na ina pointi sita. Mdenishi Poulsen ambaye yuko kwao nchini Denmark baada ya...
11 years ago
Michuzi
TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO

Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Babaake Kim Kardashian sasa ni mwanamke
Baba wa kambo wa familia ya Kardashian, Bruce Jenner ambaye aliwahi kuwa mwanariadha shupavu amejibadilisha na kuwa mwanamke
11 years ago
GPL
Kocha aliyetoswa Yanga aula Rwanda
Kocha Luc Eymael. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Luc Eymael ametua jijini Kigali, Rwanda kumalizia mazungumzo ya kujiunga na Rayon Sports ya Rwanda. Eymael, raia wa Ubelgiji, alikuwa mmoja wa makocha waliowania kuifundisha Yanga baada ya kumtimua Ernie Brandts lakini akatoswa mapema na nafasi kuchukuliwa na Hans van Der Pluijm. Akizungumza kutoka Ubelgiji, Eymael alisema alitarajia kutua Kigali, juzi jioni na kumalizia mambo...
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini
Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE


5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Idara ya usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo
Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda Kizito Mihigo alikamatwa akidaiwa kujaribu kuvuka mpaka kuingia Burundi kinyume cha sheria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania