Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Kim sasa aibukia Rwanda

Rais wa Shirikisho la Soka la Rwanda (Ferwafa), Vincent Nzamwita amethibitisha kwamba wapo katika mazungumzo na kocha Kim Poulsen ili awe mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho hilo na anatarajiwa kuanza kazi Novemba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Jenerali Mwamunyange sasa aibukia Ngerengere.

\Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, (pichani) ameibukia katika Kamandi ya Anga Kizuka iliyopo Ngerengere, mkoani Morogoro wakati Rais Jakaya Kikwete, akizindua uwanja wa Ndege wa Kamandi hiyo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Rais Kikwete alisema kuwa katika miaka 10 ya uongozi wake, amefanya mambo mengi kwa Watanzania pamoja na kuliacha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) likiwa katika hali nzuri ya kiutendaji.
Alisema hakuna nchi inayoweza kupata maendeleo...

 

10 years ago

GPL

Kim Poulsen kocha mpya Simba

Kim Polusen raia wa Denmark. Na Ezekiel Kitula
SIMBA imeamua kufanya mabadiliko kwa kumtwaa kocha Kim Polusen raia wa Denmark katika nafasi ya Mzambia, Patrick Phiri.Simba imeingia kwenye harakati za kumng’oa Phiri ambaye ameiongoza Simba katika mechi sita tu za Ligi Kuu Bara na zote ametoka sare. Simba imefunga mabao sita, imefungwa sita na ina pointi sita. Mdenishi Poulsen ambaye yuko kwao nchini Denmark baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili.
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Babaake Kim Kardashian sasa ni mwanamke

Baba wa kambo wa familia ya Kardashian, Bruce Jenner ambaye aliwahi kuwa mwanariadha shupavu amejibadilisha na kuwa mwanamke

 

11 years ago

GPL

Kocha aliyetoswa Yanga aula Rwanda

Kocha Luc Eymael. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Luc Eymael ametua jijini Kigali, Rwanda kumalizia mazungumzo ya kujiunga na Rayon Sports ya Rwanda. Eymael, raia wa Ubelgiji, alikuwa mmoja wa makocha waliowania kuifundisha Yanga baada ya kumtimua Ernie Brandts lakini akatoswa mapema na nafasi kuchukuliwa na Hans van Der Pluijm. Akizungumza kutoka Ubelgiji, Eymael alisema alitarajia kutua Kigali, juzi jioni na kumalizia mambo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?

Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini

Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Idara ya usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo

Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda Kizito Mihigo alikamatwa akidaiwa kujaribu kuvuka mpaka kuingia Burundi kinyume cha sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani