Kova astaafu akikumbuka matukio matatu
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova amestaafu huku akisema, katika kipindi alicholitumikia jeshi hilo, hatasahau matukio matatu maishani mwake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWatu matatu wafariki dunia Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 08/03/2015 Majira ya saa 11:00hrs huko katika kijiji cha Mundemu Kata ya Mundemu Wilaya ya Bahi Mkoa wa Dodoma mtu aliyefahamika kwa jina la LEGANGA KAZIMOTO, Mwenye miaka 40, Mkulima na Mkazi wa kijiji cha Mbalawala Manispaa ya Dodoma aliuwawa kwa kupigwa na kitu kizito sehemu mbali mbali za mwili wake na...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Lowassa akikumbuka kutubu, atasema na hili
KWA muda mrefu nimekaa kimya kusikiliza watu wakizungumza, na hasa mgombea urais kupitia Chadema
John Daniel
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
10 years ago
GPLMCHEZAJI TENISI LI NA ASTAAFU
10 years ago
BBCSwahili30 May
Rio Ferdinand astaafu
10 years ago
Habarileo20 Sep
CAG Utouh astaafu
ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Nahodha wa SpringBoks astaafu
10 years ago
GPLDCI MNGULU ASTAAFU
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Masebu astaafu akijivunia EWURA
“NASUBIRI kwa hamu kuona katiba ya mwisho itakuaje halafu niangalie ni fursa gani naweza kufanya baada ya hapo.” Hayo ni maneno ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa...