Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA VIGEZO HIVI WE SI KIBARUA NI MUAJIRIWA KISHERIA

   Na  Bashir  Yakub MAKALA  haya  yataeleza   tofauti  kati  ya  kibarua  na  ajira  ili  isiwe  unaitwa  kibarua  kumbe  kisheria  umeajiriwa  na  unastahili  stahiki  zote  za  kiajira. 
Wako  watu  wengi  wanafanya kazi  lakini  hawajui  wanafanya  kazi  katika  mwavuli  upi yawezekana  mtu  akawa  amefanya  kazi  miaka  mingi  lakini  bado  kazi  anayofanya  haitambuliki  anaifanya  kama  nani.   
Na  mara  nyingi  hii  hujitokeza  katika  kazi  zile   ambazo  si  za  kitaaluma, Kazi ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Martin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika

Katika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager wake,labda kama ana mmanage kwenye biashara ya Ngono..Picha hiyohapo niliyo screenshoot.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzanite ina kibarua kwa Sauzi

Tanzanite ikishinda leo na mechi ya marudiano itafuzu Fainali za Kombe la Dunia nchini CanaTimu ya soka ya taifa ya wanawake chini ya miaka 20, ‘The Tanzanite’, leo inashuka uwanjani kupambana na Afrika Kusini katika mchezo wa kutafuta tekiti ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani nchini Canada.da mwakani

 

10 years ago

GPL

KAJALA: NINA KIBARUA KIGUMU KWA PAULA

Imelda Mtema
Kazi kwelikweli! Mkali wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amefunguka kuwa kwa umri aliofikia mwanaye, Paula Paul wa miaka 14 ana kibarua kigumu cha kuhakikisha anakuwa salama hasa kwenye suala la wanaume.
...

 

10 years ago

Dewji Blog

NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu

NA BASHIR NKOROMO

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...

 

9 years ago

Mwananchi

Kibarua cha kuboresha elimu kwa Serikali ya Dk Magufuli

Kesho kutwa,  Dk John Magufuli ataapishwa kuwa  Rais wa awamu ya tano, akiwa amebeba ahadi nyingi kwa Watanzania ikiwamo ile ya Serikali yake kutoa elimu bure kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne.

 

11 years ago

Mwananchi

Msiajiri kwa vigezo vya undugu-mkurugenzi

Wamiliki wa hoteli mkoani Iringa, wametakiwa kuacha mazoea ya kuajiri wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi na badala yake, wazingatie sifa na vigezo vya walivyo navyo, ili kuchochea kasi ya ukuaji wa shughuli za utalii.

 

9 years ago

Mwananchi

Kibarua kizito cha kukuza uchumi kwa Rais ajaye

Mengi yamezungumzwa juu ya hali ya uchumi wa Tanzania na mustakabali wake wakati huu wa kampeni.

 

10 years ago

Michuzi

NEC KUGAWA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI KWA VIGEZO


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini(NEC),inatarajia kuchunguza mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi na kuyagawa kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa NEC,Jaji Mstaafu Damian Lubuva wakati alipokutana na viongozi wa Vyama vya Siasa kujadili masuala mbalimbali ya Tume katika kuelekea uchaguzi Mkuu.
Amesema  ugawaji wa Majimbo,Tume imezingatia vigezo mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani