Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini saluni hii ina muonekano wa matatu?

Jengo la saluni ambalo ukiliona unaweza kudhani umepishana na daladala au gari la abiria nchini Kenya maarufu kama matatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo

Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Matatu zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo wa muziki wake humo ndani sasa ndio balaa yani. Nimezipata […]

The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND NA OMMY DIMPOZ KUFANYA MAONESHO MATATU DUBAI WIKIENDI HII

BENDI ya muziki wa kizazi kipya ya Yamoto Band na Mwanamuziki wa Kizazi Kipya Omary Nyebo 'Ommy Dimpoz', kesho wanatarajiwa kuondoka nchini kwenda Dubai katika falme za nchi za kiarabu (UAE) kwa ajili ya maonesho matatu tofauti nchini humo.  Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe, Said Fella, alisema kuwa wanamuziki hao pamoja na Ommy Dimpoz, wataondoka majira ya saa 8  mchana na kurejea siku ya Jumatato mara tu baada ya maonesho hayo. 
 Alisema kuwa siku ya Ijumaa ambayo itakuwa machi 27,...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz)

Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Ukiwa TZ tunaziita ‘Daladala‘, lakini Kenya wenyewe wanaziita ‘Matatu‘.. gari hizo zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo […]

The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz) appeared first on...

 

9 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA SC INA KIKOSI BORA ‘KILICHOSHIBA’


Mlinzi wa kati wa Yanga Vicent Bosou ambaye amecheza kwa dakika zote 90 kwa mara ya kwanza wakati Yanga ikicheza dhidi ya Toto Africans 
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam
Licha ya wachezaji wake kuendelea kuendelea kukosa kujiamini wapatapo ‘mkwaju wa penati’, washambuaji wa Yanga SC ameendelea kufunga magoli ya kutosha na kujikita katika kilele cha msimamo. Mlinzi wa kulia, Juma Abdul alifunga goli ‘maridadi’ la mkwaju wa mita zisizopungua 23 mapema dakika ya 9’ wakati Yanga ikicheza na...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.

Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...

 

9 years ago

MillardAyo

Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview!

Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pamoja na majarida mbalimbali ya burudani… Nimekutana na interview ya rapper huyo na mtandao wa Yahoo na ndani yake amegusia vitu vingi ikiwemo maana ya jina la ‘Tyga’ , umaarufu na mengine kibao. […]

The post Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview! appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

Kwanini Diamond Platnumz alilia kwenye video hii?

Hakuna siri kuwa Diamond Platnumz na Yemi Alade walifanya kazi nzuri kwenye msimu wa pili wa Coke Studio Africa. Miongoni mwa nyimbo zilizofurahiwa zaidi ni Johny ya Yemi na Ukimwona ya Diamond ambazo waliziimba pamoja. Lakini kilichofurahisha zaidi na pengine ambacho watu wengi hawajakigundua ni pale Diamond alikuwa akijadiliana na producer wa video ya live […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?

Utekelezwaji wa mkataba wa amani kwa Sudan Kusini ni jambo ambalo limeyumbisha nchi hiyo kwa miaka.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hii ndio sababu ya kwanini Malaika haimbi style moja ya muziki

11313469_850096228421131_180915679_n

Malaika ni msanii aliyefanya vizuri mwaka huu na wimbo wake Sare aliomshirikisha Mesen Selekta.

Tayari ana video mpya iitwayo Zogo. Lakini kabla ya nyimbo hizo aliachia wimbo wa Mchiriku uitwao Mwantumu.

“Kwa Tanzania tumezoea kwamba mtu anaimba style moja ya muziki, mwanamuziki huyu limitation yake iko hapa, hawezi kubadilika kufanya kitu kingine cha tofauti, ni hapo hapo tu alipo,” amesema Malaika.

“Lakini kinachonifanya mimi kubadilika na kufanya nyimbo tofauti tofauti ni kutaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani