Kwanini saluni hii ina muonekano wa matatu?
Jengo la saluni ambalo ukiliona unaweza kudhani umepishana na daladala au gari la abiria nchini Kenya maarufu kama matatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Matatu zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo wa muziki wake humo ndani sasa ndio balaa yani. Nimezipata […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yH02uNgxR4o/VROWowdTnbI/AAAAAAAHNSc/QAHNt8Bx8-0/s72-c/DSC_0078.jpg)
YAMOTO BAND NA OMMY DIMPOZ KUFANYA MAONESHO MATATU DUBAI WIKIENDI HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-yH02uNgxR4o/VROWowdTnbI/AAAAAAAHNSc/QAHNt8Bx8-0/s1600/DSC_0078.jpg)
Alisema kuwa siku ya Ijumaa ambayo itakuwa machi 27,...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz)
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Ukiwa TZ tunaziita ‘Daladala‘, lakini Kenya wenyewe wanaziita ‘Matatu‘.. gari hizo zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
Vijimambo22 Oct
HII NDIYO YANGA SC INA KIKOSI BORA ‘KILICHOSHIBA’
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Vicent-Bosou.png)
Mlinzi wa kati wa Yanga Vicent Bosou ambaye amecheza kwa dakika zote 90 kwa mara ya kwanza wakati Yanga ikicheza dhidi ya Toto Africans
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam
Licha ya wachezaji wake kuendelea kuendelea kukosa kujiamini wapatapo ‘mkwaju wa penati’, washambuaji wa Yanga SC ameendelea kufunga magoli ya kutosha na kujikita katika kilele cha msimamo. Mlinzi wa kulia, Juma Abdul alifunga goli ‘maridadi’ la mkwaju wa mita zisizopungua 23 mapema dakika ya 9’ wakati Yanga ikicheza na...
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.
Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview!
Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pamoja na majarida mbalimbali ya burudani… Nimekutana na interview ya rapper huyo na mtandao wa Yahoo na ndani yake amegusia vitu vingi ikiwemo maana ya jina la ‘Tyga’ , umaarufu na mengine kibao. […]
The post Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview! appeared first on...
10 years ago
Bongo515 Nov
Kwanini Diamond Platnumz alilia kwenye video hii?
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?
9 years ago
Bongo523 Nov
Video: Hii ndio sababu ya kwanini Malaika haimbi style moja ya muziki
![11313469_850096228421131_180915679_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11313469_850096228421131_180915679_n-300x194.jpg)
Malaika ni msanii aliyefanya vizuri mwaka huu na wimbo wake Sare aliomshirikisha Mesen Selekta.
Tayari ana video mpya iitwayo Zogo. Lakini kabla ya nyimbo hizo aliachia wimbo wa Mchiriku uitwao Mwantumu.
“Kwa Tanzania tumezoea kwamba mtu anaimba style moja ya muziki, mwanamuziki huyu limitation yake iko hapa, hawezi kubadilika kufanya kitu kingine cha tofauti, ni hapo hapo tu alipo,” amesema Malaika.
“Lakini kinachonifanya mimi kubadilika na kufanya nyimbo tofauti tofauti ni kutaka...