LAFARGE TANZANIA YAZINDUA SARUJI MPYA “TEMBO SUPASET 42.5”

Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa chapa mpya ya saruji iitwayo “Tembo Supaset 42.5”leo Oktoba 12, 2015 katika ofisi zao jijini Dar es Salaam. Anayemfuatia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Lafarge Tanzania, Catherine Langreney pamoja na Mkurugenzi wa Mauzo, Stanslaus Mmbaga.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Lafarge Tanzania, Catherine Langreney (katikati) akishangilia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
10 years ago
Vijimambo
ORIFLAME YAZINDUA OFISI MPYA TANZANIA


10 years ago
MichuziLAFARGE TANZANIA YAKABIDHI MRADI WA MAJI KWA KIJIJI CHA SONGWE VIWANDANI, MBEYA
11 years ago
Michuzi.jpg)
Bayport Tanzania yazindua huduma mpya ya Mikopo ya bidhaa
9 years ago
Michuzi
TUME YA TAIFA YA TANZANIA UNESCO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NITAFUTEAPP

Huduma hii inalenga kuwezesha Utafutaji,Utambuzi,Uokozi, Matibabu na Utoaji taarifa za watu waliopotea hususani Watoto,Wagonjwa wa Akili na Wahanga wa usafirishaji haramu wa binaadamu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Afisa Mtendaji Mkuu wa Huduma hiyo Trayphone Elias amesema kuwa faida zinazopatikana katika mtandao huo ni Kukuza matumizi...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
UAP Insurance Tanzania yazindua huduma zake mpya na tafrija fupi
Meneja madai wa kampuni ya Bima ya UAP Bw. Michael Emmanuel (kushoto) akiwa na Ally Athumani Meneja Uandikishaji wa UAP wakati wa utambulisho wa huduma hizo mpya walizo zindua za UAP JIKINGE na UAP FAMILY KINGA (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam). Kampuni ya Bima ya UAP Tanzania, wamekuja na huduma mpya mbili za Bima kwa watu wote ambayo itaboresha maisha ya wateja wake ikiwemo katika huduma za matibabu mbalimbali nchini.
Huduma...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Smart Codes Tanzania yazindua huduma mpya “Patikana” kusaidia biashara za kitanzania kuonekana popote duniani
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara wote duniani hususani Tanzania kuweza kuweka biashara zao kwenye mtandao (Website).
Huduma hiyo itawezesha wafanyabiashara wakubwa na wale wadogo kusajili maji na ya biashara zao kwenye kikoa cha Tanzania DotTZ (.tz) mfano.
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara...
11 years ago
Michuzi
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'




11 years ago
GPL
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'