LAPF YAOKOPESHA SACCOS YA WALIMU RUANGWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2GSdFqhmnUQ/VUHbbVJXZpI/AAAAAAAC3zw/vIBwOVvCIz0/s72-c/IMG-20150429-WA0019.jpg)
Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Yesaya. Mwakifulefule akikabidhi hundi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ruangwa Bw. Nicolaus Kombe wakati wa sherehe za makabidhiano zilizofanyika jana Ruangwa mkoani Lindi. Hii ni mikopo ya wanachama kupitia SACCOS zinazotolewa na Mfuko wa Pensheni wa LAPF ili kuwawezesha kutimiza malengo yao mbali mbali wakati wakiwa bado kazini au kabla ya kusataafu. Hadi kufikia sasa LAPF imetoa mikopo ya zaidi ya sh, 2.2 bilioni.LAPF imeikopesha Saccos ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-BtBmOib8YxQ/VUHu1WppvaI/AAAAAAAAP5M/_HTNTcqejmA/s1600/picha%2B3.jpg)
LAPF WATOA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 100 KWA SACCOS YA WALIMU WILAYANI RUANGWA, LINDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kCZSSRLzR3Y/VYo9ECYGt0I/AAAAAAAARdI/EpMfVLJTC1o/s72-c/E86A1182%2B%25281280x853%2529.jpg)
SACCOS YA WALIMU MOSHI VIJIJINI WAPATA VIONGOZI WAPYA WA BODI
![](http://2.bp.blogspot.com/-kCZSSRLzR3Y/VYo9ECYGt0I/AAAAAAAARdI/EpMfVLJTC1o/s640/E86A1182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-j4Drm_CkfnU/VYo9Kcnf90I/AAAAAAAARdU/9bs6YQpElQo/s640/E86A1189%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-10lXZHNyt68/VYo9eTkhx3I/AAAAAAAARew/ZyXBM93jep0/s640/E86A1252%2B%25281280x853%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni
10 years ago
Vijimambo04 May
CUF wawapania CCM Ruangwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Abdul-4May2015.jpg)
Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wamechoshwa na uongo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamedai kuwa miaka 53 ya uhuru wameshindwa kuwajengea barabara kuu ya wilaya hiyo kwa kiwango cha lami na fimbo watakayotumia ni kukiadhibu ni kukinyima kura Oktoba, mwaka huu.
Wakizungumza katika mikutao ya hadhara ya Chama cha Wananchi (CUF) katika maeneo mbalimbali ikiwamo Kata ya Nandagala, kuhamasisha wanachama na wananchi kujiandikisha...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Majaliwa ahutubia mkutano Ruangwa
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakisalimiana na wazee wa Ruangwa kabla ya mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu mjini Ruangwa Desemba 20, 2015. (PIcha na Ofisi ysa Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia silaha za asili alizokabidhiwa na wazee wa Ruangwa kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara mjini hapo Desemba 20, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokea zawadi ya rungu kutoka kwa Mzee Issa Juma Nangalapa ikiwa ni ishara ya kumtaka awaadhibu wote...
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Ruangwa waonya uchimbaji holela