Liverpool: hatubagui waislamu
Liverpool FC inafikiria kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya shabiki wake sugu ambaye aliwakebehi mashabiki wawili Waiislamu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBC01 Mar
Watford 3-0 Liverpool: Liverpool 'unburdened' as unbeaten run comes to end
10 years ago
Habarileo15 Nov
Waislamu kuombea nchi
WAISLAMU nchini leo wanaanza kufanya dua maalumu katika viwanja vya Jangwani, kuombea Watanzania kumrudia Mungu na kuwa na hofu na Mungu katika matendo yao.
9 years ago
StarTV25 Sep
 Waislamu wawakemea wagombea
Taasisi ya Kiislamu ya Imamu Bukhary imeonya baadhi ya viongozi, hususan wagombea wa nafasi mbalimbali, kuacha mara moja kutumia kauli zenye mrengo wa udini katika kusaka nyadhifa ili kuepusha migogoro inayoweza kuibuka na kuwagawa Watanzania.
Taasisi hiyo imesema, kila mwananchi aachwe mwenyewe kuchagua kiongozi amtakaye kwa kuzingatia sera za maendeleo kwenye nyanja nyingine, na si udini ambao unaweza kulisambaratisha taifa na kubomoa misingi ya umoja na mshikamano.
Kwenye maadhimisho ya...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Koka alisha Waislamu
MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka ametoa vyakula kwa waumini wa Kiislamu zaidi ya 2,000 wa misikiti 64 ya jimboni humo, ikiwa ni ishara ya kuwatakia heri ya sikukuu Idd...
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Waislamu UK:Wapinga mauaji ya C Hebdo
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Waislamu washerehekea sikukuu ya Eid
11 years ago
BBCSwahili09 Feb
Waislamu wote wataihama CAR
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Waislamu kusherehekea Maulid leo
11 years ago
Habarileo15 Jan
Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo
SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.