Waislamu wawakemea wagombea
Taasisi ya Kiislamu ya Imamu Bukhary imeonya baadhi ya viongozi, hususan wagombea wa nafasi mbalimbali, kuacha mara moja kutumia kauli zenye mrengo wa udini katika kusaka nyadhifa ili kuepusha migogoro inayoweza kuibuka na kuwagawa Watanzania.
Taasisi hiyo imesema, kila mwananchi aachwe mwenyewe kuchagua kiongozi amtakaye kwa kuzingatia sera za maendeleo kwenye nyanja nyingine, na si udini ambao unaweza kulisambaratisha taifa na kubomoa misingi ya umoja na mshikamano.
Kwenye maadhimisho ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Nov
Waislamu kuombea nchi
WAISLAMU nchini leo wanaanza kufanya dua maalumu katika viwanja vya Jangwani, kuombea Watanzania kumrudia Mungu na kuwa na hofu na Mungu katika matendo yao.
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Liverpool: hatubagui waislamu
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Koka alisha Waislamu
MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka ametoa vyakula kwa waumini wa Kiislamu zaidi ya 2,000 wa misikiti 64 ya jimboni humo, ikiwa ni ishara ya kuwatakia heri ya sikukuu Idd...
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Waislamu UK:Wapinga mauaji ya C Hebdo
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Wayahudi na Waislamu waungana Norway
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Waislamu taabani,Austria Kunani ?
10 years ago
GPL
WAISLAMU WAIOMBEA AMANI PALESTINA
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Waislamu waanza kufunga Ramadhan
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Waislamu watakiwa kulinda amani

Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal
MANENO SELANYIKA NA ASIFIWE GEORGE
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Waislamu kote nchini kuhakikisha wanadumisha amani na umoja.
Mbali na kutoa wito huo, Dk. Bilal alilaani mauaji yaliyotokea nchini Palestina na kuwataka viongozi wote duniani kukaa na kujadili namna ya kurejesha amani hiyo.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Shaaban Simba, katika ibada maalumu ya Sikukuu ya Idd El Fitri,...