Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu wote wataihama CAR

Afisa wa shirika la kutetea haki za kibinaadamu asema Waislamu wote katika Jamhuri ya Afrika ya Kati punde wataondoka nchini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MUFTI WA TANZANIA AWATAKIAKIA WAISLAMU WOTE DUNIANI SIKU KUU NJEMA

  Mufti wa Tanzania Abubabakary Zubery

Napenda kuchukua fursa hii kusema kuwa mwezi umeonekana maeneo mbalimbali ikiwemo Lam, Mombasa,  Nawapa mkono wa Eid el fitri Waislamu kote Duniani ambao wamehitimisha Ibada ya mwezi mzima wa mfungo mtukufu wa Ramadhan. Pia napenda kuchukua fulsa hii kuwakumbusha kuchukua tahadhari wote tukumbuke maagizo tunayo pewa na Serikali kupitia Wataalamu wake wa Afya kuendelea kuchukua maelekezo juu ya ugonjwa hatari wa CORONA. Na 
Kupitia maombi yenu Mwenyezi...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu
Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba. Marehemu Mufti amefariki leo 15/6/2015 asubuhi katika hospitali ya TMJ – DSM alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa sukari na shinikizo la damu (pressure). "Kifo...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,      STATE HOUSE,               1 BARACK OBAMA ROAD,   11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania  (BAKWATA)) kufuatia kifo...

 

10 years ago

Vijimambo

MAN LEAVES HIS CAR AT CAR WASH,CAME BACK TO THIS

What will you do??????...You dropped your SUV at a car wash for it be washed and left. And by the time you came back, the car had been practically destroyed (Picture above) and the car wash is not insured or have license. An inexperienced driver with no driver license lost control of the SUV and smashed it into a fence. 



 

9 years ago

StarTV

 Waislamu wawakemea wagombea

Taasisi ya Kiislamu ya Imamu Bukhary imeonya baadhi ya viongozi, hususan wagombea wa nafasi mbalimbali, kuacha mara moja kutumia kauli zenye mrengo wa udini katika kusaka nyadhifa ili kuepusha migogoro inayoweza kuibuka na kuwagawa Watanzania.

Taasisi hiyo imesema, kila mwananchi aachwe mwenyewe kuchagua kiongozi amtakaye kwa kuzingatia sera za maendeleo kwenye nyanja nyingine, na si udini ambao unaweza kulisambaratisha taifa na kubomoa misingi ya umoja na mshikamano.

Kwenye maadhimisho ya...

 

10 years ago

Habarileo

Waislamu kuombea nchi

WAISLAMU nchini leo wanaanza kufanya dua maalumu katika viwanja vya Jangwani, kuombea Watanzania kumrudia Mungu na kuwa na hofu na Mungu katika matendo yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool: hatubagui waislamu

Liverpool FC inafikiria kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya shabiki wake sugu ambaye aliwakebehi mashabiki wawili Waiislamu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Koka alisha Waislamu

MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka ametoa vyakula kwa waumini wa Kiislamu zaidi ya 2,000 wa misikiti 64 ya jimboni humo, ikiwa ni ishara ya kuwatakia heri ya sikukuu Idd...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani