Lollipop: Waumini hawasikilizi kinachoimbwa katika injili
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert, maarufu kwa jina la Lollipop, amesema muziki wa injili una changamoto nyingi, ikiwemo ya mashabiki wake wengi kutofuata maneno yanayoimbwa katika nyimbo hizo.
Msanii huyo alisema waumini wanatakiwa kuanza kusikiliza na kufuata kinachoimbwa katika nyimbo hizo kwa kuwa zina ujumbe mwingi kwao, badala ya kucheza midundo huku wakiendelea kutenda mabaya.
“Ni utamaduni uliojengeka kwa muda mrefu tunafuata zaidi burudani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aad3qjUScko/VWJVzWCHX5I/AAAAAAAAE9I/KEhU7Lb1KOE/s72-c/20150524_183649.jpg)
PICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-aad3qjUScko/VWJVzWCHX5I/AAAAAAAAE9I/KEhU7Lb1KOE/s320/20150524_183649.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8i6TF7Wc48M/VWJWDIAxQII/AAAAAAAAE9Q/W-cDK5u4UQw/s320/20150524_164224.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_koy9RpGP3c/VWJWGXpCC5I/AAAAAAAAE9Y/JmLwVloYhj8/s320/20150524_164302.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AFmet9VmP_I/VWJWL6RrSJI/AAAAAAAAE9g/SjpNkFVouc4/s320/20150524_152417.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GG77N83MATU/VWJWSnAQ49I/AAAAAAAAE9o/SpFyOA-7k84/s320/20150524_152347.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lncWy1Kslec/VWJWfXigsVI/AAAAAAAAE9w/iCy-kf5X_eo/s320/20150524_164357.jpg)
Mkutano mkubwa ulioandaliwa na kanisa la Cathedral of Praise unaendelea ukiwa katika hatua za mwishomwisho. Mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Hampton iliyoko Baltimore ave College Park umefanyika kwa mafanikio ukishirikisha wahubiri kutoka states mbalimbali za hapa Marekani.
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
SOLOMON MUKUBWA: Ninapenda kuimbia injili katika ardhi ya Tanzania
MFALME wa amani, mfalme wa amani uinuliwe,wewe ni mwema wewe ni mwema Bwana wangu,” ni sehemu ya wimbo uliomtambulisha vema mwimbaji Solomon Mukubwa, mmoja wa waimbaji mahiri wa muziki wa...
10 years ago
Dewji Blog28 Nov
Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia ijulikanayo kama ‘Msifuni Bwana’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rita Bw. Frederick Msumali(kushoto) na waumini wengine. (Picha na mpiga picha wetu).
Na Mwandishi Wetu
JAMII imeombwa kusaidia kuinua muziki wa injili unaofanywa na...
10 years ago
MichuziBIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fkAh1RQHfjY/XvbGBYiop8I/AAAAAAALvoM/48NaOxSejQAF3K3Vy7fEJj1HrfXWcnkIQCLcBGAsYHQ/s72-c/photo%2B1%2B%25281%2529.jpg)
WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fkAh1RQHfjY/XvbGBYiop8I/AAAAAAALvoM/48NaOxSejQAF3K3Vy7fEJj1HrfXWcnkIQCLcBGAsYHQ/s640/photo%2B1%2B%25281%2529.jpg)
Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dPD7SXCXwFM/VgPxsCMN3fI/AAAAAAAAueo/zf3lPLjnVTE/s72-c/IMG_9192.jpg)
WAIMBAJI NYIMBO ZA INJILI WAAOMBA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-dPD7SXCXwFM/VgPxsCMN3fI/AAAAAAAAueo/zf3lPLjnVTE/s640/IMG_9192.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gkmW7jQKfSE/VgPxtWQl0xI/AAAAAAAAues/7CxsND3_Xls/s640/IMG_9249.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fwVDDtTJnQA/VDF7rsWxscI/AAAAAAAGoD8/xHC2EYegOYM/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AUNGANA NA WAUMINI KATIKA SWALA YA EID EL-HAJI JIJINI DAR LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fwVDDtTJnQA/VDF7rsWxscI/AAAAAAAGoD8/xHC2EYegOYM/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9dbhrRDQ_84/VDF7seOeCdI/AAAAAAAGoEA/TpiG7_S3Ol0/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
9 years ago
VijimamboWAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aungana na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Swala ya Eid El-Haji Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim iliyoswaliwa katika Msikiti wa Istiqaama, jijini Dar es Salaam, jana. Wa pili (kulia) ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu baada ya kushiriki swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim...