Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lollipop: Waumini hawasikilizi kinachoimbwa katika injili

photoNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert, maarufu kwa jina la Lollipop, amesema muziki wa injili una changamoto nyingi, ikiwemo ya mashabiki wake wengi kutofuata maneno yanayoimbwa katika nyimbo hizo.

Msanii huyo alisema waumini wanatakiwa kuanza kusikiliza na kufuata kinachoimbwa katika nyimbo hizo kwa kuwa zina ujumbe mwingi kwao, badala ya kucheza midundo huku wakiendelea kutenda mabaya.

“Ni utamaduni uliojengeka kwa muda mrefu tunafuata zaidi burudani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI DMV


Mkutano mkubwa ulioandaliwa na kanisa la Cathedral of Praise unaendelea ukiwa katika hatua za mwishomwisho. Mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Hampton iliyoko Baltimore ave College Park umefanyika kwa mafanikio ukishirikisha wahubiri kutoka states mbalimbali za hapa Marekani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SOLOMON MUKUBWA: Ninapenda kuimbia injili katika ardhi ya Tanzania

MFALME wa amani, mfalme wa amani uinuliwe,wewe ni mwema wewe ni mwema Bwana wangu,” ni sehemu ya wimbo uliomtambulisha vema mwimbaji Solomon Mukubwa, mmoja wa waimbaji mahiri wa muziki wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA

Albam pix 3

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia ijulikanayo kama ‘Msifuni Bwana’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rita Bw. Frederick Msumali(kushoto) na waumini wengine. (Picha na mpiga picha wetu).

Na Mwandishi Wetu

JAMII imeombwa kusaidia kuinua muziki wa injili unaofanywa na...

 

10 years ago

Michuzi

BIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

 Picha ya baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kufutari katika ukumbi wa hoteli Serena, futari iliyoandaliwa na Bima ya Resolution. Baadhi wa waumini wa dini ya kiislam wakimsikiliza mgeni rasmi Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam .  Meneja Mkuu wa Bima ya Resolution, Oscar Osir, na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salim wakiwaongoza wa umini wa Dini ya kiislamu katika mwezi Mtukuru wa Ramadhani kuchukua futari iliyoandaliwa na Bima ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

 WAUMINI 4,000 waliopona corona (covid 19) nchini korea kusini wajitolea Kutoa utegili(plasma) yenye thamani ya trilioni 192 na bilioni 394 za kitanzania kwa ajili ya tiba ya corona.
Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...

 

9 years ago

Michuzi

WAIMBAJI NYIMBO ZA INJILI WAAOMBA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI

 Mwimbaji  wa nyimbo za Injili Upendo Nkone (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika ofisi za  Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha kuombea amani ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama  kuhusiana na kushiriki katika tamasha la kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu. Kulia ni Mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu na kustoto ni Christophe Mwanganyira.Mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AUNGANA NA WAUMINI KATIKA SWALA YA EID EL-HAJI JIJINI DAR LEO.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim iliyoswaliwa katika Msikiti wa Istiqaama, jijini Dar es Salaam, leo. Wa pili (kulia) ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu baada ya kushiriki swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim iliyoswaliwa katika...

 

9 years ago

Vijimambo

WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA

 Ustaadh Yahaya Kiduma akitoa mawadha ya Dini ya Kiislamu katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma wakati wa Swala ya Eid El Haji iliyoandaliwa na kamati ya Sherehe za Dini hiyo mkoani humo.Shekh wa Msikiti wa Nunge Ahmed Zuber akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kumaliza kuswalisha Swala ya Eid El Haji katika viwanja vya jamhuri mjini Dodoma.  Waumini wa Dini ya Kiislamu wakifanya Ibada ya Eid El Haji katika uwanja wa Jamhuri, ambapo ibada hiyo iliandaliwa na kamati ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal aungana na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Swala ya Eid El-Haji Jijini Dar

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim iliyoswaliwa katika Msikiti wa Istiqaama, jijini Dar es Salaam, jana. Wa pili (kulia) ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid. (Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu baada ya kushiriki swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani