SOLOMON MUKUBWA: Ninapenda kuimbia injili katika ardhi ya Tanzania
MFALME wa amani, mfalme wa amani uinuliwe,wewe ni mwema wewe ni mwema Bwana wangu,” ni sehemu ya wimbo uliomtambulisha vema mwimbaji Solomon Mukubwa, mmoja wa waimbaji mahiri wa muziki wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rose Muhando, Martha Mwaipaja, Solomon Mukubwa kuwasha moto
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi
Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.
Ujumbe wa NHC...
9 years ago
MichuziPROPHET SHEPHERD BUSHIRI MINISTRIES: mkutano mkubwa wa Injili kunzia kesho hadi Jumapili kanisa la ECG karibu na chuo cha ardhi Dar es salaam
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Lollipop: Waumini hawasikilizi kinachoimbwa katika injili
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert, maarufu kwa jina la Lollipop, amesema muziki wa injili una changamoto nyingi, ikiwemo ya mashabiki wake wengi kutofuata maneno yanayoimbwa katika nyimbo hizo.
Msanii huyo alisema waumini wanatakiwa kuanza kusikiliza na kufuata kinachoimbwa katika nyimbo hizo kwa kuwa zina ujumbe mwingi kwao, badala ya kucheza midundo huku wakiendelea kutenda mabaya.
“Ni utamaduni uliojengeka kwa muda mrefu tunafuata zaidi burudani...
10 years ago
VijimamboPICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI DMV
Mkutano mkubwa ulioandaliwa na kanisa la Cathedral of Praise unaendelea ukiwa katika hatua za mwishomwisho. Mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Hampton iliyoko Baltimore ave College Park umefanyika kwa mafanikio ukishirikisha wahubiri kutoka states mbalimbali za hapa Marekani.
10 years ago
Dewji Blog28 Nov
Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia ijulikanayo kama ‘Msifuni Bwana’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rita Bw. Frederick Msumali(kushoto) na waumini wengine. (Picha na mpiga picha wetu).
Na Mwandishi Wetu
JAMII imeombwa kusaidia kuinua muziki wa injili unaofanywa na...
9 years ago
MichuziWAIMBAJI NYIMBO ZA INJILI WAAOMBA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
EPHRAIM SEKELETI : Mwimbaji Injili Mzambia anayeihusudu Tanzania
JINA la Ephraim Sekeleti Mutalange si geni masikioni na machoni pa wengi si kutokana na umaarufu wake katika uimbaji na utungaji wa vibao vilivyobeba ujumbe murua, pia uwezo wake wa...
10 years ago
Habarileo28 Apr
Shimbo: Watanzania wekezeni katika ardhi
WATANZANIA wameshauriwa kuwekeza katika ardhi nyumbani na kuifanya njia ya kuwasaidia vijana na wananchi wengine kujiepusha na biashara ya dawa za kulevya.