Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOLOMON MUKUBWA: Ninapenda kuimbia injili katika ardhi ya Tanzania

MFALME wa amani, mfalme wa amani uinuliwe,wewe ni mwema wewe ni mwema Bwana wangu,” ni sehemu ya wimbo uliomtambulisha vema mwimbaji Solomon Mukubwa, mmoja wa waimbaji mahiri wa muziki wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rose Muhando, Martha Mwaipaja, Solomon Mukubwa kuwasha moto

Waimbaji mahiri wa muziki wa injili, Solomon Mukubwa, Rose Muhando na Martha Mwaipaja wataongoza shamrashamra za Tamasha la Krismasi katika mikoa ya Nyanda za Juu kusini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi

Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.

NHC1

Ujumbe wa NHC...

 

9 years ago

Michuzi

PROPHET SHEPHERD BUSHIRI MINISTRIES: mkutano mkubwa wa Injili kunzia kesho hadi Jumapili kanisa la ECG karibu na chuo cha ardhi Dar es salaam

Hii ni kufuatia mkutano mkubwa wa Injili unaoendelea jijini Pretoria (Encounter Conference 2015) ulioandaliwa na Huduma ECG inayoongozwa na Major Prophet Shepherd Bushiri na kurushwa LIVE na Prophetic Channel. Wanaohudumu katika mkutano huu ni Major Prophet Eubert Angel, Major Prophet Shepherd Bushiri na Dr. Ramson Mumba na miongoni mwa washiriki WAKUU wa mkutano ni Pastor Sayo Mwanyongo wa kanisa la ECG Dar es Salaam. Baada ya mkutano huu kuisha Pastor Sayo Mwanyongo kwa kibali alichopewa...

 

9 years ago

Mtanzania

Lollipop: Waumini hawasikilizi kinachoimbwa katika injili

photoNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert, maarufu kwa jina la Lollipop, amesema muziki wa injili una changamoto nyingi, ikiwemo ya mashabiki wake wengi kutofuata maneno yanayoimbwa katika nyimbo hizo.

Msanii huyo alisema waumini wanatakiwa kuanza kusikiliza na kufuata kinachoimbwa katika nyimbo hizo kwa kuwa zina ujumbe mwingi kwao, badala ya kucheza midundo huku wakiendelea kutenda mabaya.

“Ni utamaduni uliojengeka kwa muda mrefu tunafuata zaidi burudani...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI DMV


Mkutano mkubwa ulioandaliwa na kanisa la Cathedral of Praise unaendelea ukiwa katika hatua za mwishomwisho. Mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Hampton iliyoko Baltimore ave College Park umefanyika kwa mafanikio ukishirikisha wahubiri kutoka states mbalimbali za hapa Marekani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA

Albam pix 3

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia ijulikanayo kama ‘Msifuni Bwana’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rita Bw. Frederick Msumali(kushoto) na waumini wengine. (Picha na mpiga picha wetu).

Na Mwandishi Wetu

JAMII imeombwa kusaidia kuinua muziki wa injili unaofanywa na...

 

9 years ago

Michuzi

WAIMBAJI NYIMBO ZA INJILI WAAOMBA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI

 Mwimbaji  wa nyimbo za Injili Upendo Nkone (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika ofisi za  Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha kuombea amani ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama  kuhusiana na kushiriki katika tamasha la kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu. Kulia ni Mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu na kustoto ni Christophe Mwanganyira.Mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPHRAIM SEKELETI : Mwimbaji Injili Mzambia anayeihusudu Tanzania

JINA la Ephraim Sekeleti Mutalange si geni masikioni na machoni pa wengi si kutokana na umaarufu wake katika uimbaji na utungaji wa vibao vilivyobeba ujumbe murua, pia uwezo wake wa...

 

10 years ago

Habarileo

Shimbo: Watanzania wekezeni katika ardhi

Balozi wa Tanzania nchini hapa, Abdulrahman Shimbo WATANZANIA wameshauriwa kuwekeza katika ardhi nyumbani na kuifanya njia ya kuwasaidia vijana na wananchi wengine kujiepusha na biashara ya dawa za kulevya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani