LORI LAINGIA MTARONI TEGETA-KIBAONI, DAR
![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGaHe8HZTDXnOS7CU6D4-woAEzI*a8sHb8zbdGFR1CzNj1VNQVMOl96e*V2*Iq7opgo1ROTXbPtA-IyDsB5GbQ2X/ajali3.jpg?width=650)
Lori likiwa mtaroni baada ya kuacha njia eneo la Tabata-Kibaoni. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo ya lori lililoingia mtaroni. AJALI hii imetokea eneo la Tabata-Kibaoni…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WATH6a8l17A/VdsLXTcfZqI/AAAAAAAHzls/nmStv4rrT30/s72-c/MMGL1711.jpg)
mzinga: Daladala laingia mtaroni
![](http://3.bp.blogspot.com/-WATH6a8l17A/VdsLXTcfZqI/AAAAAAAHzls/nmStv4rrT30/s640/MMGL1711.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pKGdgX04x8edzlBalSBFjp*TUQfXEkT8HSMaDmAc8sfxZUm0TmHZ7srljFcbbaq7HHXdPn9FrE4oCo8KoYNxGml/IMG20141201WA0019.jpg?width=650)
GARI LAINGIA MTARONI LIKIPANDA MLIMA KITONGA
11 years ago
CloudsFM29 May
DEREVA APORWA LORI KWENYE FOLENI YA MIZANI KIBAHA, WAMPIGA NA KUMTUPA MTARONI AKIWA HOI
Watu watano wasiofahamika wanaodhaniwa ni wezi, wamemvamia dereva wa lori la mafuta, Stephano John eneo la Kibamba, Barabara Kuu ya Dar es Salaam -Morogoro alipokuwa katika foleni na kisha kumpiga, kumjeruhi sehemu kadhaa za mwili, kumfunga kamba na kumtupa mtaroni.
Ilielezwa kuwa baada ya kumfunga kamba, wahalifu hao walimdhibiti ndani ya lori na kutembea naye umbali wa kilomita moja walipofika maeneo ya Kiluvya ambako walimtupa katika mtaro na kuendelea na safari.
Walifika mizani Kibaha...
11 years ago
GPL![](http://www.itv.co.tz/media/image/LORI.jpg?width=650)
LORI LATEKETEA KWA MOTO BAADA YA KUGONGANA NA LORI LINGINE
10 years ago
IPPmedia15 Jan
Two appear in Dar court over Tegeta escrow account saga
IPPmedia
IPPmedia
Tegeta Escrow Account scandal suspects Rugonzibwa Mujunangoma (L), and Engineer Theophillo Bwakea walk towards Kisutu Resident Magistrate�s Court in Dar es Salaam yesterday under armed escort. Two people yesterday appeared before Kisutu ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MAJr81Isv-0/Vfc9XvdsoKI/AAAAAAAH40U/V6sZ38RWOg0/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
kiwanja kinauzwa tegeta wazo Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-MAJr81Isv-0/Vfc9XvdsoKI/AAAAAAAH40U/V6sZ38RWOg0/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gak1W6updsE/Vfc9XQiWalI/AAAAAAAH40Q/ChDuL5qHK3k/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
11 years ago
GPLLORI LAIGONGA BODABODA SINZA, DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Lori la mafuta laleta maafa Dar
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
WATU wanne wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa vibaya, baada ya lori lililokuwa limebeba mafuta ya petroli kuanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Mbagala Rangitatu.
Hali hiyo ilizua taharuki na vilio kwa wakazi wa eneo hilo na maeneo jirani, baada ya idadi kubwa ya watu kujeruhiwa vibaya kutokana na moto huo ulioanza saa 6 usiku.
Watu wengi walijeruhiwa baada ya kwenda kuchota mafuta yaliyokuwa yanamwagika wakiwa na ndoo, vidumu vya lita tano na...