Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mzinga: Daladala laingia mtaroni

Kamera yetu, leo imeinasa taswira hii ya Daladala likiwa limepiga mweleka na kuingia mtaroni, lilipokuwa likijarimu kulikwepa gari lingine lililokuwa likipita eneo hilo la Mbagala Charambe, Jijini Dar, Hakuna aliejeruhiwa katika ajali hiyo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LORI LAINGIA MTARONI TEGETA-KIBAONI, DAR

Lori likiwa mtaroni baada ya kuacha njia eneo la Tabata-Kibaoni. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo ya lori lililoingia mtaroni. AJALI hii imetokea eneo la Tabata-Kibaoni…

 

10 years ago

GPL

GARI LAINGIA MTARONI LIKIPANDA MLIMA KITONGA

Basi liitwalo Easy Bus  lenye namba za usajili T 298 BLZ lililokuwa likitokea Lilongwe Malawi likiwa katika mtaro wa Mlima Kitonga.…

 

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

MTOTO: POLISI WAMEMGONGA BABA, WAKAMUACHA MTARONI

Makongoro Oging’ na Chande Abdallah
Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support  ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi (60), hali yake ni mbaya kwa kile kinachodaiwa aligongwa na gari la polisi na kuvunjika mbavu, mguu wa kushoto mara mbili pia kakatika utumbo siku ya Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support  ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi. Mtoto...

 

11 years ago

Daily News

Girl drowns in river Mzinga


Girl drowns in river Mzinga
Daily News
A TEN year old daughter identified as Mintuni Maliyatabu was found dead and his body floating in Mzinga river at Kimbangulile Mchikichini area in Temeke municipality over the week end, police have confirmed. The Temeke Regional Police Commander ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi daraja la Mzinga kitendawili

DARAJA la Mto Mzinga eneo la Kivule, Dar es Salaam, huenda likashindwa kukamilika hivi karibuni kutokana na kukosekana kwa fedha zilizopangwa kulikamilisha. Hayo yalibainika mwishoni mwa wiki jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwinyi awataka Mzinga kuzalisha kisasa

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Husein Mwinyi amelishauri Shirika la Mzinga kuzalisha bidhaa zake kulingana na mabadiliko ya teknolojia.

 

11 years ago

Michuzi

Gari yapiga mweleka na kuingia mtaroni jijini Mbeya leo

Wasamalia wema wakijaribu kulinasua gari aina ya Toyota Corolla (namba zake za usajili hazikuweza fahamamika mara moja kutokana na kutokuwepo) lililoingia kwenye mtaro baada ya dereva wake kuzidiwa maarifa ya kiudereza na kujikuta akiingia mtaroni,katika eneo la Mafiat mkabala na kituo cha mafuta cha Oilcom jijini Mbeya asubuhi hii.Dereva wa Gari hilo pamoja na mtu mwingine mmoja wamejeruhiwa na kukimbizwa hospital kwa matibabu.Chanzo cha ajali hiyo inaelezwa ni mwendo kasi aliokuwa...

 

11 years ago

GPL

GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI

Stori: Shakoor Jongo IKIWA takriban ni miezi minne kasoro tangu gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ aiage dunia, gari aina ya Toyota Fun Cargo alilopewa kama zawadi na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdu ‘Diamond’ limedaiwa kupigwa bei. Gari alilokabidhiwa aliyekuwa gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ ,  aina ya Toyota Fun Cargo. Chanzo makini kilicho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani