mzinga: Daladala laingia mtaroni
![](http://3.bp.blogspot.com/-WATH6a8l17A/VdsLXTcfZqI/AAAAAAAHzls/nmStv4rrT30/s72-c/MMGL1711.jpg)
Kamera yetu, leo imeinasa taswira hii ya Daladala likiwa limepiga mweleka na kuingia mtaroni, lilipokuwa likijarimu kulikwepa gari lingine lililokuwa likipita eneo hilo la Mbagala Charambe, Jijini Dar, Hakuna aliejeruhiwa katika ajali hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGaHe8HZTDXnOS7CU6D4-woAEzI*a8sHb8zbdGFR1CzNj1VNQVMOl96e*V2*Iq7opgo1ROTXbPtA-IyDsB5GbQ2X/ajali3.jpg?width=650)
LORI LAINGIA MTARONI TEGETA-KIBAONI, DAR
Lori likiwa mtaroni baada ya kuacha njia eneo la Tabata-Kibaoni. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo ya lori lililoingia mtaroni. AJALI hii imetokea eneo la Tabata-Kibaoni…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pKGdgX04x8edzlBalSBFjp*TUQfXEkT8HSMaDmAc8sfxZUm0TmHZ7srljFcbbaq7HHXdPn9FrE4oCo8KoYNxGml/IMG20141201WA0019.jpg?width=650)
GARI LAINGIA MTARONI LIKIPANDA MLIMA KITONGA
Basi liitwalo Easy Bus lenye namba za usajili T 298 BLZ lililokuwa likitokea Lilongwe Malawi likiwa katika mtaro wa Mlima Kitonga.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA9B0YlLkDFKTRugJQ-ncjf5L*fu8j*3o3dnKXr2l7K5Vave2kI*0rcnJsfsuiK321*bkPVOVMmkP2bM4I27UJMa/BASILAYANGA3.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzDTmqmof52ACru8aY7-4GrhzH7DqI2xh*HufxsfpIz4mz*HAkgtkgadr2Dpkv9lfmWqxKTaAAXbzB9lZ6AJ7bK8/Ajali.jpg)
MTOTO: POLISI WAMEMGONGA BABA, WAKAMUACHA MTARONI
Makongoro Oging’ na Chande Abdallah
Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi (60), hali yake ni mbaya kwa kile kinachodaiwa aligongwa na gari la polisi na kuvunjika mbavu, mguu wa kushoto mara mbili pia kakatika utumbo siku ya Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi. Mtoto...
11 years ago
Daily News13 May
Girl drowns in river Mzinga
Daily News
A TEN year old daughter identified as Mintuni Maliyatabu was found dead and his body floating in Mzinga river at Kimbangulile Mchikichini area in Temeke municipality over the week end, police have confirmed. The Temeke Regional Police Commander ...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Ujenzi daraja la Mzinga kitendawili
DARAJA la Mto Mzinga eneo la Kivule, Dar es Salaam, huenda likashindwa kukamilika hivi karibuni kutokana na kukosekana kwa fedha zilizopangwa kulikamilisha. Hayo yalibainika mwishoni mwa wiki jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Mwinyi awataka Mzinga kuzalisha kisasa
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Husein Mwinyi amelishauri Shirika la Mzinga kuzalisha bidhaa zake kulingana na mabadiliko ya teknolojia.
11 years ago
MichuziGari yapiga mweleka na kuingia mtaroni jijini Mbeya leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKORnOSjWHuJfAab2nIQ8lBloeWs3CeIUIEnoZ0sHzYrI75vMiWORweyPVvxMdLbyQuBM0CaWUHVOwxGy7R7j3G*/FRONTAMANI.jpg)
GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI
Stori: Shakoor Jongo IKIWA takriban ni miezi minne kasoro tangu gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ aiage dunia, gari aina ya Toyota Fun Cargo alilopewa kama zawadi na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdu ‘Diamond’ limedaiwa kupigwa bei. Gari alilokabidhiwa aliyekuwa gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ , aina ya Toyota Fun Cargo. Chanzo makini kilicho...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania