Lowassa amwalika Namelock Ukawa
gombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana amefanya kampeni kwa mara ya kwanza katika jimbo la Monduli na kumnadi mgombea ubunge wa Chadema, Julius Kalanga huku akieleza kuwa atazungumza na mgombea ubunge wa CCM, Namelock Sokoine kuona kama atakubali kupanda basi la Chadema chini ya Ukawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Obama amwalika JK
RAIS wa Marekani, Barack Obama, amemwalika Rais Jakaya Kikwete kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika utakaofanyika jijini Washington baadaye mwaka huu. Mkuu wa Shirika la Misaada ya Maendeleo...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Rais Malawi amwalika Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete juzi alikutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Malawi, Profesa Peter Mutharika, mazungumzo yaliyofanyika katika mazingira ya undugu na urafiki.
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Ukawa: Lowassa anaongoza
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimetoa matokeo ya utafiti uliofanywa sehemu tatu tofauti unaoonyesha mgombea wao wa urais, Edward Lowassa, atapata ushindi wa asilimia 76.
Matokeo ya utafiti huo yalitolewa Dar es Salaam jana ikiwa ni siku chache tangu Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza itoe utafiti wake ambao ulimpa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli ushindi wa asilimia 65 na Lowassa ushindi wa asilimia 25.
Kabla ya Twaweza, Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Lowassa alivyoingia Ukawa
USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema.
Ezekiel Kamwaga
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Ukawa watangaza kumkaribisha Lowassa
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Siku 10 kampeni za Lowassa Ukawa
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Lowassa, Ukawa uamuzi mgumu
9 years ago
Habarileo16 Nov
Lowassa: Wafuasi wa Ukawa tulieni
ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuungwa mkono na umoja wa vyama vingine vitatu, Edward Lowassa, amewataka wafuasi na wanachama wa vyama hivyo kuendelea kuwa watulivu baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu.