LOWASSA KUJITAMBULISHA KESHO ARUSHA
Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa ambaye ni mgombea Urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)anatarajiwa kupokelewa kwa mapokezi makubwa ikiwemo magari,pikipiki,katika uwanja wa ndege wa kia hadi viwanja vya tindigani kata ya kimandolu jijini Arusha siku ya jumamosi(kesho tarehe 15) ambapo atahutubia wananchi katika mkutano ulioandaliwa na chama hicho
Akizungumza mapema jana na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho juu ya maandalizi hayo Mwenyekiti wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbiAOZ6l4B-9UbQDOuIi0qGRmluqbX3XTUGZZx3VCkz3uxFobuqWfwtY5xrqZgrQu5xxHCcvPTk4-vVZ4TWF3yaL/IMG20150529WA0002.jpg)
10 years ago
Michuzi24 Jul
WATIA NIA CCM WAENDELEA NA ZIARA YA KUJITAMBULISHA KATIKA KATA MBALIMBALI JIMBO LA ARUSHA MJIN
![SAM_4061](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/M4WAho2bXxAtSAob2K6vIj6VHqF-RxAuo2GjJfx0y6b4zhLdEOl6TdElQbjxofkE9K5YlMaLT2jQEUMjW5ZQqZEskpK2O_92XHruJ2Xudw9deGk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4061.jpg)
![SAM_4098](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/deX0ata86eL8aLwIo_1BAIUV9SJiw40In8CnfcjIy_jQG4f8nio6z8zJYt-edXq_xwxS4H5AuTMqRkJ4BfxS-MEHbWg3rwUfQ2YE8FqTyaVtFNA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4098.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Mbowe kumtambulisha Lowassa Mbeya kesho
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kitengo cha moyo alipokuwa amelazwa kwa saa 48.
Kutokana na afya yake kuimarika, kiongozi huyo wa upinzani kesho anatarajiwa kushiriki katika mkutano wa kumtambulisha mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, utakaofanyika jijini Mbeya.
Mbowe aliyehudumiwa na jopo la madaktari nane baada ya kushindwa kuhitimisha maandamano ya...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Miss Arusha City Center kesho
SHINDANO la kumsaka Redd’s Miss Arusha City Center 2014 linatarajiwa kurindima katika hoteli ya kitalii ya Naura Spring iliyoko katikati ya Jiji la Arusha, kesho. Waandaji wa shindano hilo, Pendo...
10 years ago
Habarileo14 Aug
Ligi Arusha Mjini kuanza kesho
LIGI ya soka daraja la nne ngazi ya wilaya ya Arusha inatarajia kuanza kutimua vumbi jijini hapa kesho Julai 15 mwaka huu katika viwanja mbalimbali.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho
10 years ago
GPLSHINDANO LA VIPAJI LA TMT KUHAMIA ARUSHA KESHO
10 years ago
Mwananchi30 May
Hekaheka kwa Lowassa, Wasira kuwa ‘live’ kesho
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Lowassa kufanya ziara nchi nzima kuanzia kesho
![LOWASSA_0.jpg](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/09/LOWASSA_0.jpg)