Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘KUNGURU’ ATAMANI UHAUSIGELI KWA ZARI

Msanii wa filamu Bongo, Brenda Malembeka maarufu kama Kunguru, Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Brenda Malembeka maarufu kama Kunguru, anadai anatamani kuwa msaidizi wa kazi za ndani (house girl) kwa Zarinah Hassan ‘Zari’ ambaye ni mzazi mwenzie na Mbongo Fleva Nasibu Abdul `Diamond Platnumz’ kwa ajili ya kumsaidia kumlea mwanaye, Latifa ‘Tiffah’. Akipiga stori na gazeti hili, muigizaji...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MUME WA ZARI ANASA KWA SHOSTI WA ZARI

Kampala, Uganda Habari kutoka nyumba ya jirani nchini Uganda ikufikie kwamba aliyekuwa mume wa mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, tajiri Ivan Ssemwanga anadaiwa kunasa penzi la shosti wa kufa na kuzikana wa mkewe huyo aitwaye Stella Nankya, Ijumaa Wikienda limetonywa. Aliyekuwa mume wa Zari akiwa na mpenzi wake mpya ambaye ni shosti wa kufa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kunguru wavamia Mombasa. Kunani?

Kisiwani Mombasa kuna ndege mmoja tu anayetawala; naye ni Kunguru wa Kihindi, au ukipenda 'Indian House Crow'.

 

10 years ago

GPL

KUNGURU: NIMETUMWA SANA POMBE BONGO MOVIE

IMELDA MTEMA MSANII wa sinema za Kibongo, Brenda Malembeka ‘Kunguru’ ameibuka na kuanika ukweli wa maisha yake kuwa kabla ya kutoka kisanaa, aliteseka sana kwa kutumwa pombe na wasanii waliokuwa tayari na majina makubwa. Msanii wa sinema za Kibongo, Brenda Malembeka ‘Kunguru’. Akizungumza na mwanahabari wetu, Kunguru alisema kwa kipindi hicho ilimlazimu akubali kutumwa pombe na mastaa kwani lengo lake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kunguru chanzo cha moto jengo la Consolidated Investments Ltd katikati ya jiji

IMG-20150210-WA0082

Hii ni sehemu ambayo inaonyesha moto ulipoanzia, baada ya Kunguru kukanyaga nyaya za umeme zilizopelekea shoti.

Na Andrew Chale, modewjiblog

INAELEZWA kuwa moto mkubwa uliozuka na kuteketeza  mapema leo  jengo la ghorofa mbili Consolidated Investments Ltd ambalo ni mali ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Plot namba 1809/88 katika makutano ya Mtaa wa Mosque  na Libya katikati ya jiji la Dar es Salaam, ni kufuatia Kunguru kugusa nyaya za umeme uliokuwa unaingia kwenye jengo hilo.

Mtandao wa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI

Tweet

Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!

Mapenzi ya Diamond na Zari The Bosslady tayari yameanza kupata vikwazo kutoka kwa watu wenye nguvu. King Lawrence, anayedaiwa kuwa mpenzi wake na Huddah Monroe na ambaye pia ni mtu wa karibu na dereva wa aliyewahi kuwa mume wa Zari, Ivan Semwanga ametangaza dau la $40,000 kwa Diamond ili amwache mpenzi wake huyo. Jamaa huyo amepost picha Facebook ya screenshot inayoonesha kuwa ni mawasiliano na Zari aliyekuwa akitaka amtumie fedha.Lawrence pia amemuita Diamond ‘Faggot’ neno linalomaanisha...

 

10 years ago

Vijimambo

Tuache ushabiki Jamani Huyu Dada Tumpe Hongera yake... Ubunifu Wake Nimeupenda..Mitandao ya Kijamii leo ni Zari Zari


Zari "Watanzania Wamenikaribisha kama ni mtu wao na sasa mimi ni wao hivyo ni yote ni heri kabisa"
Zari Tlale aka The Bosslady amesema upendo anaoupata baada ya kuanzisha uhusiano na Diamond Platnumz, umemfanya agundue kuwa watanzania wamemkubali kama mtu wao.
Akiongea na Clouds FM/TV asubuhi hii, Zari amesema tangu ameanza kuja Tanzania amekuwa akipokea upendo zaidi kutoka kwa watanzania kiasi ambacho kimemfanya ajisikie kama yupo kwao.“Siwezi hata kulalamika, watu wa Tanzania ni wakarimu...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond

Katika mitoko yako ya weekend hii usije kushtuka utakapokutana na couple fulani ya ‘Ameizing’ ya TZ+UG, sababu Zari Tlale a.k.a The Boss Lady yupo ndani ya jiji la Dar au kama anavyopaita mrembo huyo D-City. Kupitia Instagram mrembo huyo wa Uganda ambaye makazi yake yako Afrika Kusini amepost picha kadhaa akiwa na mpenzi wake Diamond […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani