Lwakatare wa Chadema aomba afutiwe mashitaka
KURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare ameiomba Mahakama kuamuru upande wa Jamhuri, kuharakisha upelelezi wa kesi hiyo au kufuta mashitaka dhidi yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Jan
Lwakatare aomba Jamhuri imrudishie simu zake
MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare ameomba upande wa Jamhuri, kuharakisha upelelezi wa kesi inayomkabili na kumrudishia simu zake, zilizochukuliwa baada ya kukamatwa.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Lwakatare wa Chadema, Ludovick waibwaga Serikali mahakamani
9 years ago
MichuziWILFRED LWAKATARE WA CHADEMA AIBUKA KIDEDEA UBUNGE BUKOBA MJINI
9 years ago
VijimamboWILFRED LWAKATARE (CHADEMA) ATANGAZWA KUWA MBUNGE WA BUKOBA MJINI
11 years ago
Mwananchi27 Mar
‘Rais akistaafu afutiwe kinga’
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-esbi6gGa_9k/XkghNxY0xyI/AAAAAAACHqI/L64D059JACU0vLTA0XLRgQ_Xo1vQHdJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_194650_953.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper03 Sep
Asomewa mashitaka wodini
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilihamia katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, kwa ajili ya kusomewa mashitaka mtuhumiwa Abdulkarim Thabit Hasia anayedaiwa kufanya uwakala wa kusajili vijana kujiunga na kundi la Al Shabaab.
Hasia ambaye amelazwa katika hospitali hiyo kwa takriban miezi minne, ilikuwa asomewe mashitaka na kuunganishwa na wenzake, Mei mwaka huu lakini ilishindikana kutokana na kutokuwa na fahamu.
Mshitakiwa huyo alisomewa mashitaka hayo na Wakili wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Julius Melema kujibu mashitaka
10 years ago
Habarileo04 Sep
Kizimbani kwa mashitaka ya mauaji
WAKAZI wawili wa Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, wakikabiliwa na mshitaka ya mauaji. Washitakiwa hao ni Habibu Mohammed (28) ambaye hati ya mashitaka ilimtambulisha kuwa ni Dereva na Said Kassimu (29) ambaye ni mfanyabiashara.