Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Rais akistaafu afutiwe kinga’

Wakati Bunge la Katiba likiwa bado halijaanza kujadili Rasimu ya Katiba, taasisi moja ya viongozi wa dini imetoa maoni mapya ikitaka Rais wa nchi awe tu na kinga anapokuwa madarakani, akiondoka awajibike kwa matendo yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Lwakatare wa Chadema aomba afutiwe mashitaka

KURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare ameiomba Mahakama kuamuru upande wa Jamhuri, kuharakisha upelelezi wa kesi hiyo au kufuta mashitaka dhidi yake.

 

10 years ago

Habarileo

Hospitali za wilaya kutoa kinga za TB

ILI kudhibiti kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) miongoni mwa wakazi, mkoa wa Tanga uko kwenye hatua za mwisho za matayarisho ya utaratibu wa kutoa kinga kupitia hospitali zake zote za wilaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yaondoa kinga ya wabunge

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imefungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Tiba, kinga ya Ukimwi vyanukia

>Watafiti katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Temple, Marekani wamegundua dawa ya kuangamiza Virusi Vya Ukimwi (VVU) ambayo ni ya uhakika zaidi ukilinganisha na zilizowahi kupatikana katika tafiti za awali duniani.

 

11 years ago

GPL

FUNGA HUIMARISHA KINGA YA MWILI

Kuna funga za aina nyingi, lakini kubwa ni ya kiroho ambayo waumini hufunga kwa ajili ya kutii maamrisho ya Mungu, ingawa ufungaji wake unatofautiana kutoka dini moja hadi nyingine. Wakati Waislamu wanafunga kwa kutokula kitu chochote kuanzia asubuhi hadi jua linapozama, Wakristo wao wakati wa funga huruhusiwa kula, lakini kwa kiasi na utaratibu maalum. Tunaposikia neno kufunga, wengi tunaliangalia tendo hilo kwa upande wa...

 

11 years ago

GPL

LINAH: SIPENDI KUTUMIA KINGA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa kike anayetesa kwenye Bongo Fleva, Esterlina Sanga ‘Linah’ ametoa mpya baada ya kuibuka na kueleza wazi kuwa, awapo faragha hapendi kutumia kinga. Esterlina Sanga ‘Linah’. Linah alisema hayo wakati akizungumza na mwakilishi wa kona hii jijini Dar es Salaam wikiendi iliyopita, ambapo alisisitiza kuwa anachukia sana mipira ya kike na kiume wakati wa tendo kwa vile...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaria: Matumaini ya kupatikana kinga

Kundi la watoto nchini Tanzania wenye kinga asilia ya malaria wanawasaidia wanasayansi kutengeneza kinga mpya ya ugonjwa huo .

 

11 years ago

KwanzaJamii

Tiba na kinga ya UKIMWI zinakuja

WATAFITI katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Temple, Marekani wamegundua dawa ya kuangamiza Virusi Vya Ukimwi (VVU) ambayo ni ya uhakika zaidi ukilinganisha na zilizowahi kupatikana katika tafiti za awali duniani. Dawa yao inaweza kutumika kwa tiba ya wanaoishi na VVU na kinga kwa wale ambao bado hawajaambukizwa. Mmoja wa watafiti hao, Dk Kamel Khalili aliwaambia waandishi wa habari mjini Philadelphia, Marekani kuwa tofauti na utafiti mwingine, wao wamegundua namna ya kukiondoa kirusi...

 

5 years ago

Forbes

Did Netflix’s ‘Tiger King’ Forget About The Tigers?

Did Netflix’s ‘Tiger King’ Forget About The Tigers?  ForbesGogglebox viewers in hysterics as Channel 4 stars watch Tiger King: 'I'm in absolute stitches'  The IndependentTiger King: Joe Exotic Had Michael Jackson's Alligator (But It DIDN'T Die)  Screen RantTiger King: 'Why would she admit it's accurate?' Star slams Carole Baskin's 'lies' claim  Express‘Tiger King’ Doesn’t Deserve Our Undivided Attention (Column)  VarietyView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani