Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maaskofu wamtabiria makubwa Kigwangala

MAASKOFU wa Kanisa la Pentekoste Zanzibar, wamemsifu Mbunge wa Nzega, Dk Hamis Kigwangala kuwa ni kiongozi anayejali Muungano na kumtabiria makubwa katika safari yake ya kisiasa nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

DK. KIGWANGALA AHIMIZA AMANI NCHINI

Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangala akizungumza na vikundi mbalimbali mbalimbali vya Joging vilivyoshiriki katika tamasha la Mbio za Amani lililoshirikisha wawakilishi kutoka pande mbalimbali za nchi na kupokelewa na mbunge huyo ambye alikuwa mgeni rasmi, Dr. Khamis Kigwangala amewaasa wanasiasa kutoleta siasa za uchochezi hasa katika mchakato mzima wa Katiba mpya ambapo amesema waachwe wananchi wenyewe waisome waielewe na wao wataamua kama wataipigia kura ya Ndiyo au Hapana,...

 

10 years ago

GPL

URAIS; KIGWANGALA ATAKA APIMWE

Stori: Elvan Stambuli
MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala amesema ametangaza nia ya kugombea urais ili aweze kupimwa na chama chake (CCM) na wananchi kama anafaa. Akizungumza kwenye Ukumbi wa Hyatt Regencey Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam juzi, Dk. Kigwangala alisema ameamua kutangaza nia bila kutumwa na mtu au kikundi chochote isipokuwa amedhamiria kuongoza taifa.… ...

 

11 years ago

GPL

DK. KIGWANGALA ATAFAKARI URAIS 2015

Mbunge wa Jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala. Na John Dotto
MBUNGE wa jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala, ametanabaisha kuwa anatafakari kama anaweza kugombea Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia chama cha mapinduzi CCM. Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua fununu zilizo enea kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo imekuwa ikiibua mijadala mara kwa mara...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Kigwangala ataka shirikisho la Jogging

1

Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangala akizungumza na vikundi mbalimbali vya Joging vilivyoshiriki katika tamasha la mbio za Amani lililoshirikisha wawakilishi kutoka pande mbalimbali za nchi na kupokelewa na mbunge huyo ambaye alikuwa mgeni rasmi, Dr. Khamis Kigwangala amewaasa wanasiasa kutoleta siasa za uchochezi hasa katika mchakato mzima wa Katiba mpya ambapo amesema waachwe wananchi wenyewe waisome waielewe na wao wataamua kama wataipigia kura ya Ndiyo au Hapana, mapokezi hayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015

MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kigwangala ajitosa rasmi urais 2015

MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala, amejitosa rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2015. Tangazo hilo la Kigwangala, linaongeza idadi ya wanaowania kiti hicho...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Khamis Kigwangala: Mbunge wa Jimbo la Nzega

Dk Hamisi Andrea Kigwangalla alizaliwa Agosti 7, 1975 mkoani Kigoma, hivyo Agosti mwaka huu atafikisha umri wa miaka 40. Baba yake mzazi Nasser Kigwangalla alikuwa mfanyakazi wa benki na baadaye mwandishi wa habari, huku mama yake mzazi, Bagaile Lumola akiwa mwalimu na baadaye akaingia katika siasa ndani ya CCM.

 

11 years ago

GPL

DKT. HAMIS KIGWANGALA ATINGA GLOBAL

Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Wafanyakazi wa Global Publishers wakiendelea kumsikiliza mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani