Mabaraza ya biashara yashauriwa
BARAZA la Taifa la Biashara (TNBC) limeyashauri mabaraza ya biashara ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kuyatekeleza kwa vitendo mapendekezo yaliyotolewa katika kongamano la uwekezaji lililomalizika jijini Mbeya hivi karibuni....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 May
Watakiwa kuunda mabaraza kazini
TAASISI mbalimbali za serikali ambazo hazijaunda mabaraza ya kazi katika sehemu za kazi kwa kisingizio cha kukosa fedha yametakiwa kuunda mabaraza hayo mara moja.
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Sheria mabaraza ya kata zachochea uhalifu
SHERIA ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, imekua mwiba katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na baadhi ya vifungu vyake kutofanyiwa marekebisho. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya wadau wameiomba...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
‘Serikali irekebishe sheria mabaraza ya kata’
SERIKALI imeombwa kuifanya marekebisho sheria ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, kutokana na kuwepo kwa changamoto wakati wa kutoa usuluhishi. Akizungumza na Tanzania Daima mwishoni mwa wiki baada ya mafunzo ya sheria...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Ndesamburo alia na mabaraza kukosa nguvu
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, (CHADEMA) amesema mabaraza ya manispaa kushindwa kuwawajibisha watendaji wazembe kimekuwa chanzo cha kuendelea kuwepo kwa ufisadi kwenye halmashauri nyingi nchini. Ndesamburo aliyasema hayo juzi...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Bajeti finyu yakwamisha ufunguaji mabaraza
SERIKALI imesema ukosefu wa bajeti ya kutosha umesababisha kushindwa kutekeleza mpango wa kufungua mabaraza ya ardhi kila kata au wilaya. Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba...
11 years ago
Habarileo19 Dec
Sheria yaja kudhibiti mabaraza ya ardhi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema katika kudhibiti na kushughulikia malalamiko dhidi ya wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi, wako kwenye mchakato wa kuandaa kanuni zitakazodhibiti utendaji wao.
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Usuluhishi wa mgogoro wa ardhi kwenye mabaraza ya kata
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s72-c/7.jpg)
WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA
Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi
Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXAD70ogo08/VJB_RQ3tXoI/AAAAAAAAU58/RRTPRbb0EC0/s1600/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Wawakilishi wa mabaraza ya wazee wa kimila wa Kimasai wakutana na Kinana
-Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
-Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
-Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi...