Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakiwa kuunda mabaraza kazini

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera.TAASISI mbalimbali za serikali ambazo hazijaunda mabaraza ya kazi katika sehemu za kazi kwa kisingizio cha kukosa fedha yametakiwa kuunda mabaraza hayo mara moja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OFM KAZINI! KIJANA ANASWA LAIVU KWA KUUNDA MTAMBO WA KUWAIBIA AZAM, ZUKU

Stori: Chande  Abdallah na Deogratius mongela
Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ambayo iliwawezesha watu kuangalia matangazo ya televisheni ya vituo mbalimbali kwa malipo rahisi. Bw. Ali anayedaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya vituo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa nyanya Iringa watakiwa kuunda vikundi

Wakulima wa nyanya mkoani Iringa, wameshauriwa kujiunga katika vikundi ili waweze kunufaika na misaada mbalimbali pamoja na mikopo kutoka katika taasisi za fedha ikiwamo benki na vicoba ili kuinua thamani ya mazao wanayozalisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabaraza ya biashara yashauriwa

BARAZA la Taifa la Biashara (TNBC) limeyashauri mabaraza ya biashara ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kuyatekeleza kwa vitendo mapendekezo yaliyotolewa katika kongamano la uwekezaji lililomalizika jijini Mbeya hivi karibuni....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria mabaraza ya kata zachochea uhalifu

SHERIA ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, imekua mwiba katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na baadhi ya vifungu vyake kutofanyiwa marekebisho. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya wadau wameiomba...

 

11 years ago

Habarileo

Sheria yaja kudhibiti mabaraza ya ardhi

Profesa Anna TibaijukaWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema katika kudhibiti na kushughulikia malalamiko dhidi ya wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi, wako kwenye mchakato wa kuandaa kanuni zitakazodhibiti utendaji wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndesamburo alia na mabaraza kukosa nguvu

MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, (CHADEMA) amesema mabaraza ya manispaa kushindwa kuwawajibisha watendaji wazembe kimekuwa chanzo cha kuendelea kuwepo kwa ufisadi kwenye halmashauri nyingi nchini. Ndesamburo aliyasema hayo juzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali irekebishe sheria mabaraza ya kata’

SERIKALI imeombwa  kuifanya marekebisho sheria ya mabaraza ya kata  ya mwaka 1985, kutokana na kuwepo kwa changamoto  wakati wa kutoa usuluhishi. Akizungumza na Tanzania Daima mwishoni mwa wiki baada ya mafunzo ya sheria...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ufunguaji mabaraza

SERIKALI imesema ukosefu wa bajeti ya kutosha umesababisha kushindwa kutekeleza mpango wa kufungua mabaraza ya ardhi kila kata au wilaya. Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba...

 

10 years ago

Mwananchi

Usuluhishi wa mgogoro wa ardhi kwenye mabaraza ya kata

Mgogoro wa ardhi ni kitendo au hali ya kutokuwa na maelewano kwa pande zaidi ya mbili juu ya umiliki, mipaka, upangaji, mikopo, mauzo na aina nyingine ya ubishani ikihusisha sheria za ardhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani