Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabilioni ya Serikali hatarini kupotea

 Jitihada za Serikali kuboresha huduma ya afya zimekwaa kisiki baada ya pikipiki za magurudumu matatu 372 zilizonunuliwa kwa ajili ya kubebea wajawazito, kutumika kwa matumizi tofauti katika baadhi ya wilaya hapa nchini. Kukwaa kisiki kwa mradi huo kunaweka rehani zaidi ya bilioni tatu za Serikali zilizotumika kununulia pikipiki hizo hivyo kulitia hasara taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri kupoteza mabilioni

SERIKALI imekiri kupoteza mabilioni ya fedha kila mwaka ambazo zinapaswa kulipwa kwa mujibu  wa  sheria na makampuni ya migodi nchini kama ushuru wa huduma kwa halmashauri  zinazozunguka migodi hiyo. Naibu...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

MSD yaidai serikali mabilioni


NA EPSON LUHWAGO 
UHABA mkubwa wa dawa na vifaa tiba umezikumba hospitali nyingi nchini, zikiwemo za Muhimbili na Ocean Road, kutokana na serikali kudaiwa zaidi ya sh. bilioni 90 na Bohari Kuu ya Dawa, (MSD).
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali linalofuatilia masuala ya afya nchini la SIKIKA, Irenei  Kiria, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa hali hiyo inahatarisha maisha ya wananchi kutokana na kukosa matibabu.
Irene alisema kutokana na madeni hayo, MSD imesimamisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabilioni ya Uswisi yaitesa serikali

SERIKALI imezidi kuweweseka juu ya kuweka hadharani taarifa ya Watanzania walioficha fedha nchini Uswisi, baada ya kamati  iliyoundwa na Bunge kushindwa kutoa taarifa yake na kuomba muda zaidi wa kujiandaa....

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali kuokoa mabilioni sekta ya maji’

WAZIRI wa Maji Prof. Jumanne Maghembe, amesema serikali itaokoa mabilioni ya fedha iliyokuwa ikitumia kuagiza mabomba ya kuweka miundombinu ya maji kutoka nje, kwa vile hivi sasa yanapatikana hapa nchini....

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yabeba madeni ya TTCL ya mabilioni

 Profesa Makame MbarawaSERIKALI imebeba madeni ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ya mabilioni ya fedha na kuiruhusu kukopa hadi Sh bilioni 96.4 kutoka katika taasisi za fedha.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabilioni ya nyara za Serikali yaokolewa Kia

Kampuni ya Maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kadco) imeokoa mabilioni ya fedha kwa kipindi cha wiki moja kwa kukamata nyara za Serikali zilizokuwa zikitoroshwa kwenda nje ya nchi.     

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yapewa mabilioni kuboresha bandari

Zaidi ya Sh 1.2 trilioni zimetolewa na wadau wa maendeleo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam inayofanywa chini ya Mpango wa Matokeo Mkubwa (BRN)sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ina njia tatu za kurejesha ‘mabilioni ya Uswisi’

Kuna njia tatu ambazo Serikali ya Tanzania ikiamua kuzitumia inaweza kurejesha mabilioni ya fedha zake ambazo zimefichwa nchini Uswisi na kwingineko duniani, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema iwapo Serikali itashindwa kulipa deni la Sh22.5 bilioni inayodaiwa na kampuni ya Absa Group Limited ya Afrika Kusini hadi kufikia Machi mwakani, itapoteza asilimia 30 ya hisa zake katika Benki ya Biashara ya NBC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani