Mabishano ya kisiasa yaua Tarime
 Mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kadogo John Msabi, mkazi wa kijiji cha Remage, kata ya Nyagicheri, wilayani Tarime mkoani Mara ameuawa kwa kuchomwa kisu tumboni na mtu anayedaiwa kuwa ni ndugu yake wa damu baada ya kutofautiana kisiasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Polisi Tarime yaua jambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya, Mkoa wa Mara, limemuua kwa kumpiga risasi jambazi mmoja na wengine watatu kunusurika katika tukio la kurushiana risasi katika Kitongoji cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AJALI YAUA MMOJA TARIME
9 years ago
Vijimambo08 Oct
Mabishano makali yaibuka kesi mauaji bilionea Msuya.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mahakama-08Oct2015(1).png)
Baadhi ya washtakiwa wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara, bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya, wakitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi jana, baada ya kusikiliza ushahidi unaotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka. PICHA NA GODFREY MUSHIMahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imeipokea ripoti ya uchunguzi wa kifo cha mfanyabiashara bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya (43), iliyosainiwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Hai, Dk. Paul Chaote,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-71Zz7f_raxc/U-R3H6lyEJI/AAAAAAAF90Q/0QBAX0LOi14/s72-c/unnamed+(5).jpg)
KATIBA HAITAPATIKANA KWA MALUMBANO,MABISHANO WALA MAANDAMANO - KISABYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-71Zz7f_raxc/U-R3H6lyEJI/AAAAAAAF90Q/0QBAX0LOi14/s1600/unnamed+(5).jpg)
Mhe Kisabya alisema, "mpaka sasa wajumbe wa bunge wanasiasa wamekuwa wakijadili nafasi za kisiasa za utawala na kusahau kuwa kuna mambo mazuri muhimu yanayohusu wananchi"Akitoa mfano kuwa suala la idadi ya SERIKALI ni jambo la kuamua lakini masuala...
10 years ago
Bongo Movies19 Jan
Aunt Ezekiel Achukizwa na Mabishano ya Kidini Yaliyozuka Baada ya Posti Yake!!!
Mwigizaji wa filamu Aunt Ezekiel ambae kwasasa ni mjamzito, amechukizwa na kitendo cha baadhi ya watu ambao ni followers wake kwenye mtandao wa Instagram kumshambulia na kuzua malumbano ya maswala ya Dini, hii ilitokea hapo jana (Jumapili) mara baada ya mwigizaji huyo kubandika picha (hiyo hapo juu) mtandaoni na kuandika maneno haya “When Jesus say YES no body can say No …..Happy me”
Kitendo hiki kiliwafanya baadhi ya watu wenye imani tofauti na ukristu kuibuka na kuanza kumshambulia kwa...
9 years ago
Bongo514 Sep
Nay wa Mitego na Diamond wayapeleka mabishano yao ya muziki kwenye siasa, soma vijembe walivyotupiana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
RPC Tarime matatani
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime Rorya, Justus Kamugisha, anatumia madaraka yake vibaya kumnyanyasa askari wake, G. 2751 PC. Japhet Samwel, aliyeumia mkono akiwa kazini mgodini Nyamongo. Licha ya...
9 years ago
Habarileo27 Oct
Chadema yapeta Tarime
MATOKEO ya kura za udiwani na ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini yameonesha wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepata ushindi katika nafasi hizo ukilinganisha na wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Daily News26 Sep
Tarime 'has no firefighters, equipment'
Daily News
THE entire District of Tarime, Mara Region, has no firefighters who can immediately attend to fire outbreaks. Instead, the firefighting team is found in Musoma, the capital of the Lake Zone Region. “At the moment, fire fighters and all vehicles are in Musoma but ...