Madaktari waeleza ugonjwa wa Mbowe
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kushindwa kuhitimisha maandamano ya kumsindikiza mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia chama chao kuchukua fomu ya kuwania urais baada ya kuugua ghafla, madaktari wameweka wazi kinachomsibu huku yeye akisema anaendelea vizuri.
Jana, daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Tilizo Sanga, alisema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Sh7zTInlQpsR2Ffze5tnkfbCrBzXP9KxbhltTFDv0Si3MT8xMOvh28m19Lr*DdjdtbNAfUYpUi5NPbIFUOeXbjZDhT-s4sqX/banza.gif?width=650)
UGONJWA WA BANZA UNAWAUMIZA VICHWA MADAKTARI, HALI MBAYA
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Madaktari wanasema kwamba ni ugonjwa usioeleweka
5 years ago
MichuziMadaktari wa Kichina watoa mafunzo ya kinga na tiba ya ugonjwa wa corona Sudan
Maafisa zaidi ya 50 wa afya nchini Sudan wanashiriki katika zoezi hilo ambalo lengo lake kuu ni kuchukua hatua za haraka za kuzuia na kutibu ugonjwa huo hatari.
Mmoja wa madaktari hao kutoka China, Li Changhong, amesema kuwa, timu yake ina mawasiliano ya karibu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s72-c/AFYA.jpg)
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s640/AFYA.jpg)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mtandao waeleza kasoro za kampeni
11 years ago
Habarileo21 Mar
Waeleza sababu za kushindwa KKK
KUTOJUA misingi ya Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK), kumeelezwa ni moja ya sababu kubwa inayowafanya wanafunzi wengi kushindwa masomo yao.