Madini ya Sh15.8 bilioni yakamatwa yakitoroshwa
Wakala wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA), umekamata madini yenye thamani ya Sh15.8 bilioni yaliyokuwa yakitoroshwa kwenda nje ya nchi bila ya kibali na kukwepa kulipa kodi ya mapato.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Jan
Madini ya milioni 547/= yakamatwa yakitoroshwa
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), umefanikiwa kukamata watoroshaji wa madini yenye thamani ya Sh milioni 547, katika muda wa miezi mitatu ya mwisho ya mwaka jana.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Madini ya mil. 547 yanaswa yakitoroshwa nje
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), umekamata watoroshaji madini aina mbalimbali yenye thamani ya zaidi ya sh milioni 547 katika matukio 11 tofauti, kuanzia Oktoba 2013 hadi mwishoni mwa...
10 years ago
Michuzi
TMAA yapiga mnada madini yaliyokamatwa yakitoroshwa nje ya nchi

5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
5 years ago
MichuziBilioni 66.5 zapatikana tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini
Profesa Manya ameyasema hayo leo tarehe 11 Machi, 2020 kupitia mahojiano maalum jijini Dodoma na kueleza kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwezi Machi, 2019 hadi kufikia mwezi Januari, 2020...
5 years ago
Michuzi24 Jun
Serikali yamlipa mchimbaji mdogo zaidi ya Bilioni 7.74 kwa madini yake ya Tanzanite

Mchimbaji mdogo wa madini, Saniniu Kurian Laizer, akimkabidhi waziri wa madini Dotto Biteko mawe ya Tanzanite yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 7.74 katika hafla fupi iliyofanyika Mirerani.Pichani kati ni Naibu Waziri wa Madini Mhe.Stansalus Nyongo

Katibu Mkuu wizara ya Madini Prof Simon Msanjila akizungumza wakati wa hafla ya kupokea madini kutoka kwa mchimbaji mdogo wa Mirerani.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira (wa Pili Kushoto), Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA MRADI MKUBWA WA REA WA SHILINGI BILIONI 25.7 MKOANI SIMIYU
5 years ago
Michuzi24 Jun
MCHIMBAJI MDOGO WA MADINI YA TANZANITE KUTAMBULIWA RASMI KUWA BILIONEA BAADA YA KUPATA MAWE MAWILI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7.8


Katibu Mkuu Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo Wizara inamtabua Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Bw. Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8. Katibu Mkuu amesema kuwa mchimbaji...