Madiwani CCM wasusa sherehe
MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, wamesusia sherehe za chama hicho ngazi ya wilaya za maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama. Sherehe hizo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Jul
Madiwani kwa Lowassa wasusa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/EL-17July2015.jpg)
Kasi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuomba nafasi za udiwani na ubunge katika Jimbo la Monduli, inasuasua na tayari chama hicho kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Siasa kitakachokutana leo kukuna vichwa kutafuta ufumbuzi wa hali hiyo.
Katibu wa CCM Wilaya ya Monduli, Elisante Kimaro, alisema jana kuwa kusuasua kwa wanachama kuchukua fomu za kuomba kugombea nafasi hizo kunatokana na kushuka kwa morali ya wanachama baada ya Mbunge wa zamani, Edward Lowassa,...
11 years ago
Michuzi25 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GeTeYoBYCYQ/VMU_ZpwjzCI/AAAAAAACyfo/TuCiMkIzBFM/s72-c/_MG_2135.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM NA RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZINDUA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-GeTeYoBYCYQ/VMU_ZpwjzCI/AAAAAAACyfo/TuCiMkIzBFM/s1600/_MG_2135.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1xv00UHX1T8/VMU_ZrBqsGI/AAAAAAACyfk/VGOa02-DC9o/s1600/_MG_2107.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7wj546jUnzw/Uw4YHI00UrI/AAAAAAAFP2g/tZoLfPAFxgo/s72-c/unnamed+(30).jpg)
MADIWANI SHINYANGA WAREJEA CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-7wj546jUnzw/Uw4YHI00UrI/AAAAAAAFP2g/tZoLfPAFxgo/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4hwpItoTEMg/Uw4YHR9V8OI/AAAAAAAFP2k/iJECwL4e27c/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
Habarileo28 Feb
Madiwani waliohama Chadema waingia CCM
MADIWANI waliojiuzulu na kuamua kuondoka katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao ni Sebastiani Peter na Zacharia Mfuko wamejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na uongozi wa mkoa wa chama hicho.
10 years ago
Habarileo21 Jul
Madiwani 10 Monduli watetea nafasi CCM
MADIWANI 10 kati ya 15 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kata za wilaya ya Monduli mkoani Arusha, waliodaiwa kukihama chama hicho, wamechukua fomu za kutetea nafasi zao kwa tiketi ya CCM na kuzirejesha.
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Madiwani CCM washindwa kusoma kiapo
NA VICTOR BARIETY, GEITA
KATIKA hali ya kushangaza Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita juzi liligeuka kituko baada ya madiwani wanne kati ya 49 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushindwa kusoma kiapo kwa ufasaha.
Hali hiyo ilisababisha vicheko kutawala katika ukumbi wa halmashauri walimokuwa wanaapishwa madiwani hao.
Tukio hilo lilitokea saa 11:32 asubuhi muda mfupi baada ya mwenyekiti wa muda wa kikao hicho, Gaspar Kanyairita kufungua na hakimu mkazi, Joseph Wiliam kuanza zoezi...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Madiwani wawili Chadema wahamia CCM