Madiwani kwa Lowassa wasusa.
Mh.Edward Lowassa.
Kasi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuomba nafasi za udiwani na ubunge katika Jimbo la Monduli, inasuasua na tayari chama hicho kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Siasa kitakachokutana leo kukuna vichwa kutafuta ufumbuzi wa hali hiyo.
Katibu wa CCM Wilaya ya Monduli, Elisante Kimaro, alisema jana kuwa kusuasua kwa wanachama kuchukua fomu za kuomba kugombea nafasi hizo kunatokana na kushuka kwa morali ya wanachama baada ya Mbunge wa zamani, Edward Lowassa,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Madiwani CCM wasusa sherehe
MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, wamesusia sherehe za chama hicho ngazi ya wilaya za maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama. Sherehe hizo...
11 years ago
Habarileo22 Jun
Madiwani Monduli wamsikitisha Lowassa
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa ameelezea kusikitishwa kwake na utendaji usioridhisha wa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, akitolea mfano kushindwa kutekeleza maamuzi ya vikao vya Baraza la Madiwani.
9 years ago
Habarileo24 Oct
Lowassa awaombea kura wabunge, madiwani wa CCM
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa, amejikuta akiombea kura wabunge na madiwani waliosimamishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
11 years ago
GPLMASTAA WASUSA 40 YA JAPANESE
11 years ago
Habarileo17 Apr
Ukawa walemewa, wasusa
BAADA ya kushindwa kwa upotoshaji uliofanywa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linaloongozwa na Chadema na CUF na hoja zao kuanza kupoteza mwelekeo, wajumbe hao wameamua kufungasha virago kurejea makwao kujipanga kutafuta huruma ya wananchi. Wajumbe hao wamefikia uamuzi huo jana, baada ya kukaa Dodoma na kuchukua posho za siku zote za awamu ya kwanza ya Bunge Maalumu mpaka Aprili 30 mwaka huu, walizozitumia pamoja na mambo mengine kukashifu waasisi wa Muungano...
11 years ago
MichuziBARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA KADI (TIKA)
11 years ago
GPL40 YA MTOTO WA ROSE NDAUKA... MASTAA WASUSA!
11 years ago
GPLBaada ya kipigo, Al Ahly wasusa vyakula