Ukawa walemewa, wasusa
BAADA ya kushindwa kwa upotoshaji uliofanywa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linaloongozwa na Chadema na CUF na hoja zao kuanza kupoteza mwelekeo, wajumbe hao wameamua kufungasha virago kurejea makwao kujipanga kutafuta huruma ya wananchi. Wajumbe hao wamefikia uamuzi huo jana, baada ya kukaa Dodoma na kuchukua posho za siku zote za awamu ya kwanza ya Bunge Maalumu mpaka Aprili 30 mwaka huu, walizozitumia pamoja na mambo mengine kukashifu waasisi wa Muungano...
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPtzIynzPuU2y5P3OoBtTcWktF1sL4-U50M*66Xma-Btcix2MAMbrYeSKlgyuttoEdPXCFYQet4W94VOj7QENgFB/japanies.jpg)
MASTAA WASUSA 40 YA JAPANESE
10 years ago
Vijimambo17 Jul
Madiwani kwa Lowassa wasusa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/EL-17July2015.jpg)
Kasi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuomba nafasi za udiwani na ubunge katika Jimbo la Monduli, inasuasua na tayari chama hicho kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Siasa kitakachokutana leo kukuna vichwa kutafuta ufumbuzi wa hali hiyo.
Katibu wa CCM Wilaya ya Monduli, Elisante Kimaro, alisema jana kuwa kusuasua kwa wanachama kuchukua fomu za kuomba kugombea nafasi hizo kunatokana na kushuka kwa morali ya wanachama baada ya Mbunge wa zamani, Edward Lowassa,...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Madiwani CCM wasusa sherehe
MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, wamesusia sherehe za chama hicho ngazi ya wilaya za maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama. Sherehe hizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jFj16T6aAmAyr2-bGfSsbC00fAk*fNAU-OufXwipZ5peawk-RvDozoNUJ6E*MUgcqm4LMPG3sC-9WAd2nCj3odA/BAADA.jpg?width=650)
Baada ya kipigo, Al Ahly wasusa vyakula
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0Yv0ao-cqJ0TeXnenPP4Y1CdpO5vmreg9MuCUh6J0qEmVHRxzWJedkox6n0rXtNeoGW*WhZAvV8f2stEXMGkTVqG/rose.jpg?width=650)
40 YA MTOTO WA ROSE NDAUKA... MASTAA WASUSA!
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
Upinzani wasusa kikao bunge la katiba TZ
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzU*BQnXaPUMs524QpZ*1hYVfDJ8Xx80R*xrnyZ456KD8LYpVeXSZFAC4ttrw-2Kbql*Y3IogKmy4MCEUJ5uwZvc/wazazi8.jpg)
WAZAZI WASUSA MAITI YA MTOTO WAO
10 years ago
Habarileo02 Jan
Wazee wasusa kula siku 2 wakimlilia RC Massawe
WAZEE wasiojiweza na watoto yatima walioko katika Kituo cha Kiilima kilichoko Bukoba Vijijini, wamesema walilazimika kususa kula kwa siku mbili mwezi uliopita baada ya kupata habari za kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe.
10 years ago
Habarileo22 Feb
Wabunge wasusa kikao cha kamati ya ushauri
KATIKA hali isiyotarajiwa Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Said Amour Arfi na Mbunge wa Viti Maalumu, Anna Malaki wote kwa tiketi ya Chadema wametoka nje ya kikao cha Kamati ya ushauri ya Wilaya ya Mpanda.