Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu wahitaji msaada Somalia

Umoja wa Mataifa unasema kua zaidi ya watu milioni tatu wanahitaji msaada wa dhahura kwa sababu ya tatizo kubwa la utapia mlo na mgogoro.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Watoto yatima wahitaji msaada kulelewa

VITUO zaidi ya 180 nchini ndio vinavyolea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi huku 39 kati ya hivyo ndio vilivyosajiliwa na kwa Mkoa wa Arusha vinavyofanya kazi ni 13 huku vingine vikitoa huduma kwa watoto bila ya kusajiliwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Somalia:7 wauawa wakisubiri chakula cha msaada

Polisi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu wameripotiwa kuua watu saba wakati wa shuguli ya mgao wa chakula cha msaada katika kambi moja ya wakimbizi.

 

9 years ago

Habarileo

Magereza wahitaji bil.14/- za chakula

SERIKALI imetakiwa kuwekeza Sh bilioni 13.6 kusaidia Jeshi la Magereza kujitosheleza katika chakula katika mpango waliouandaa wa kilimo cha kibiashara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji Pera wahitaji majosho

WAFUGAJI wa vijiji vya Mbala, Pingo na Chamakweza, Kata ya Pera, wamesema chanzo cha kuzagaa mifugo na kusababisha migogoro baina yao na wakulima ni kutokana na ukosefu wa majosho. Walisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kidogozero wahitaji huduma ya maji haraka

WAKAZI wa Kijiji cha Kidogozero, Kata ya Vigwaza, Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, wameuomba uongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo kumsimamia mkandarasi aliyepewa jukumu la kusambaza maji kwenye kijiji hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto Moro wahitaji ulinzi zaidi

WATOTO wanaoishi katika mazingira magumu katika Manispaa ya Morogoro, wameandamana mjini hapa wakishinikiza kupatiwa ulinzi wa kutosha. Watoto hao walitoa ombi hilo juzi, baada ya maandamano ya kuadhimisha Siku ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Pam:Vanuatu wahitaji chakula

Wananchi wa Vanuatu wanahitaji msaada wa chakula na huduma za afya kufuatia kimbunga kikali kilichoipiga nchi hiyo

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji


NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani