Maelfu wahitaji msaada Somalia
Umoja wa Mataifa unasema kua zaidi ya watu milioni tatu wanahitaji msaada wa dhahura kwa sababu ya tatizo kubwa la utapia mlo na mgogoro.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Jan
Watoto yatima wahitaji msaada kulelewa
VITUO zaidi ya 180 nchini ndio vinavyolea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi huku 39 kati ya hivyo ndio vilivyosajiliwa na kwa Mkoa wa Arusha vinavyofanya kazi ni 13 huku vingine vikitoa huduma kwa watoto bila ya kusajiliwa.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Somalia:7 wauawa wakisubiri chakula cha msaada
9 years ago
Habarileo09 Dec
Magereza wahitaji bil.14/- za chakula
SERIKALI imetakiwa kuwekeza Sh bilioni 13.6 kusaidia Jeshi la Magereza kujitosheleza katika chakula katika mpango waliouandaa wa kilimo cha kibiashara.
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wafugaji Pera wahitaji majosho
WAFUGAJI wa vijiji vya Mbala, Pingo na Chamakweza, Kata ya Pera, wamesema chanzo cha kuzagaa mifugo na kusababisha migogoro baina yao na wakulima ni kutokana na ukosefu wa majosho. Walisema...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Kidogozero wahitaji huduma ya maji haraka
WAKAZI wa Kijiji cha Kidogozero, Kata ya Vigwaza, Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, wameuomba uongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo kumsimamia mkandarasi aliyepewa jukumu la kusambaza maji kwenye kijiji hicho...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Watoto Moro wahitaji ulinzi zaidi
WATOTO wanaoishi katika mazingira magumu katika Manispaa ya Morogoro, wameandamana mjini hapa wakishinikiza kupatiwa ulinzi wa kutosha. Watoto hao walitoa ombi hilo juzi, baada ya maandamano ya kuadhimisha Siku ya...
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Kimbunga Pam:Vanuatu wahitaji chakula
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Apr
Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji
NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...