Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFURIKO YAWALIZA MASTAA

Gladness Mallya
KUTOKANA na mvua kubwa iliyonyesha na inayoendelea jijini Dar ambayo imesababisha mafuriko kwenye majumba ya watu na maji kujaa barabarani hivyo magari kushindwa kupita, baadhi ya mastaa Bongo, wamejikuta wakilizwa na hali hiyo kwani imewaathiri katika maisha yao ya kawaida na kwenye kazi zao. Adha ya mafuriko jijini Dar. Wakizungumza na gazeti hili juu ya majanga hayo ya mafuriko yaliyowakumba hasa watu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

EPZ yawaliza wakazi B’moyo

Mipango ya uwekezaji mkubwa kupitia Ukanda Huru wa Uchumi (EPZ), imegeuka kuwa shubiri kwa wakazi wa vijiji kadhaa wilayani hapa baada ya utaratibu wa kuwalipa fidia kwa ajili ya ardhi yao itakayochukuliwa na miradi hiyo kusuasua.

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria ya Madini yawaliza wachimbaji

Wachimbaji wadogo wa Tanzanite katika Mji mdogo wa Mirerani uliyopo wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, wamelalamikia sheria zinazowaba na kutowaruhusu kumiliki madini hayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu ya ardhi yawaliza wajane

WAJANE katika Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro wameangua kilio mbele ya uongozi wa taasisi na asasi ya maendeleo ya elimu na maarifa ya Greenbelt Schools Trust Fund (GSTF) baada...

 

10 years ago

Mwananchi

Michango ya kampeni yawaliza wagombea CCM

>Michango ya kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo mbalimbali nchini imelalamikiwa na baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maziwa ya kusindika ‘yawaliza’ wafugaji nchini

UINGIZWAJI wa maziwa ya kusindikwa kutoka nchi jirani unawakatisha tamaa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa nchini hatua ambayo inaweza kusababisha wafugaji kuiacha biashara hiyo. Changamoto hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji...

 

11 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

5 years ago

Michuzi

BEI JUU YA SUKARI YAWALIZA WANANCHI KIBAHA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI

BAADHI ya maduka wilayani Kibaha yanauza sukari kwa bei ya sh. 3,200-4,000 kwa kilo ambayo ni kinyume na bei elekezi ya serikali kwa mkoa wa Pwani ambayo ni sh. 2,700.
Kero hiyo imejitokeza kutokana na wauzaji wa maduka ya maeneo mbalimbali ya wilayani ya Kibaha hayana bidhaa hiyo muhimu ,na sasa sukari imekuwa adimu.
Wananchi wakizungumza walisema sukari imekuwa ikiuzwa kwa kificho ambapo wakiwa na wasiwasi wanasema sukari hamna wakiogopa kukamatwa na polisi...

 

10 years ago

Mwananchi

Kodi ya pango yawaliza wenye vibanda Karagwe

Wafanyabiashara wa Soko la Omurushaka, Wilaya ya Karagwe, Kagera wamelalamikia uamuzi wa Baraza la Madiwani uliowataka kulipa kodi ya pango ya Sh50,000 badala ya ile ya awali ya Sh15,000.

 

10 years ago

Mwananchi

Nauli ya mabasi yawaliza wanafunzi wa bweni mkoani Tanga

Wanafunzi wanaosoma shule za bweni mkoani hapa, wameitaka Serikali kuweka utaratibu maalumu utakaoainisha nauli wanazopaswa kuzilipa katika mabasi makubwa ya mikoani kama ilivyo kwa daladala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani