Magufuli ataka walarushwa waanze kutubu
Dodoma. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli ametoa muda kwa wala rushwa nchini kutubu dhambi zao kabla hajawa rais na watakaofanya hivyo alishawasamehe saba mara sabini lakini baada ya hapo akiingia Ikulu “atalala nao mbeleâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Feb
Kwanini ni muhimu wasanii wa Tanzania waanze kutoa album tena!
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Katiba Inayopendekezwa ni faraja kwa walarushwa na mafisadi
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Kajitiba ka katiba ni kutubu si kutibua
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Lowassa akikumbuka kutubu, atasema na hili
KWA muda mrefu nimekaa kimya kusikiliza watu wakizungumza, na hasa mgombea urais kupitia Chadema
John Daniel
11 years ago
BBCSwahili22 Mar
Papa Francis awaasa 'Mafia' kutubu
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Lowassa ataka ahadi za Dk. Magufuli zipimwe
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewataka wananchi kulinganisha ahadi za Rais, Dk. John Magufuli na CCM kuhusu elimu.
Ameyasema hayo siku mbili baada ya Dk. Magufuli, aagize watendaji wa serikali kushughulikia utekelezaji wa sera yake ya kutoa elimu bure kuanzia Januari mwakani.
Lowassa, chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), aliahidi kutoa elimu bure kuanzia shule ya awali hadi...
9 years ago
Habarileo21 Nov
Magufuli ataka mitazamo tofauti kuhusu albino
RAIS John Magufuli amesema nchi bado inakabiliwa na tatizo la imani za kishirikina dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kufanyiwa vitendo kinyume na haki za binadamu, ikiwemo kuuawa na kueleza kuwa kinachotakiwa ni kubadilisha mitazamo ya watanzania kuhusu albino.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mghwira ataka Magufuli amtaje aliyeua viwanda
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Magufuli ataka kampeni za kisayansi kupata ushindi wa tsunami