Magufuli atamba kushinda kwa ‘tsunami’
SIKU moja baada ya matokeo ya utafiti wa taasisi huru ya Twaweza kuonesha kuwa anapaa katika urais, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ametamba kupata ushindi wa ‘tsunami’.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Mar
Samia atamba kushinda Umakamu Mwenyekiti
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Samia Suluhu Hassan ambaye amepitishwa na CCM kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba , amejigamba kuwa nafasi hiyo akiipata ataiweza kuliongoza bunge hilo.
9 years ago
Vijimambo06 Oct
WAKATI ARUSHA MAGUFULI AKISABABISHA TSUNAMI,MWIGULU NA MAKAMBA WAFANYA KATA KWA KATA HUKO BUMBULI
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12144658_431915607010673_4583238688570454796_n.jpg?oh=98f609bf18b9bcdeec91b71739fdfb26&oe=56D0AD69)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12115787_431915657010668_1328942883456690202_n.jpg?oh=d60623a89136f92fb9e06b66550c0a0a&oe=56D25F1D)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/12144793_431915707010663_1738931926840346145_n.jpg?oh=db6590babe78dd285a9dcc83dbf7383e&oe=5696312F)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12074760_431915770343990_6392683590182578764_n.jpg?oh=70f494a0c418b82f64743d60dfa8f074&oe=569273D3)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12074695_431915807010653_2545599694684219592_n.jpg?oh=dadb78ebc1cd6f5d2a533a11d74d1927&oe=56CDE8BA)
10 years ago
Habarileo11 Aug
Magufuli: Subirini ushindi wa tsunami
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, amewahakikishia wana-CCM na Watanzaia kwa ujumla kuwa mwaka huu, chama kitapata ushindi wa Tsunami na si wa kishindo wala kimbunga.
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampeni za Dk. Magufuli kwao Chato ni zaidi ya Tsunami
Mgombea urais wa Tbanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi wakati wa mkutano wa kampeni za urais, ubunge na udiwani kwenye Uwanja wa Michezo mjini Chato, mkoani Geita, jimbo alilokuwa Mbunge. Pia alitumia fursa hiyo kuwaaga wapiga kura wake.Mkutano huo wa kampeni ulijaza watu kupita kiasi jambo ambalo wenyeji wa wilaya hiyo pamoja na mgombea amesema haijawahi kutokea.PICHA ZOTE NA RICHARD BMWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mbuzi huyu aliyechorwa maandishi hayo...
9 years ago
Habarileo19 Oct
Magufuli atamba
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amejigamba kuwa endapo atachaguliwa, atakuwa rais wa mfano barani Afrika. Aidha amesema akiwa waziri wa kawaida anaamini amefanya kazi kubwa na inayoonekana kulinganishwa na iliyofanywa na mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye.
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Dk. Magufuli Atamba
BAKARI KIMWANGA NA PETER FABIAN, MAGU
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania wamchague awe rais kwani atateua waziri mkuu mchapakazi atakayesimamia shughuli za Serikali wakati wote.
Amesema kwamba, anahitaji kuwa na baraza dogo la mawaziri litakalokuwa tayari kwenda kwa wananchi kutatua kero zao.
Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti katika mikutano yake ya kampeni za lala salama zilizofanyika katika Majimbo ya Magu, Sumve,...
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Magufuli ataka kampeni za kisayansi kupata ushindi wa tsunami
9 years ago
Raia Mwema03 Nov
Sishangai Magufuli kushinda
NIANZE makala hii kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuiwezesha Tanzania yetu kufika salama siku y
Evarist Chahali
9 years ago
Habarileo30 Oct
Kilichombeba Magufuli kushinda urais
TANZANIA imeandika historia mpya, ambapo jana imempata Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Pombe Magufuli, ambaye alikuwa mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu uliohitimishwa Jumapili ya Oktoba 25, mwaka huu.