MAIMARTHA: 2014 NIMEVUNA SH. MIL 28
![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*Nl8rQFN0T4fM-lsOD81dF5WNRqzR5xQaqj04qbMFIYYWl6swyeOQsv3W9N2y6j26zeUi6tdPitWPlya238E6AIk/maimartha.jpg)
Stori: Laurent Samatta MTANGAZAJI wa runinga Maimartha Jesse, ameweka wazi kuwa pamoja na watu kulalamika kuwa mwaka uliopita ulikuwa mgumu kifedha kwa upande wake amefanikisha kuingiza kiasi cha shilingi milioni 28 ambazo amezipata kupitia kazi zake za kila siku ikiwemo ya kundi lake maarufu la Baikoko. Mtangazaji wa runinga Maimartha Jesse. Maimartha alifunguka mchongo huo wa kudaka kiasi hicho cha pesa baada ya kuzungumza na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Zawadi Kili Marathon 2014 zafikia mil. 40/-
ZAWADI za fedha taslimu kwa washindi wa Kilimanjaro Marathon 2014 zimeongezwa na kufikia zaidi ya sh milioni 40 na kuzifanya kuwa kati ya mbio kubwa zaidi barani Afrika. Waandaaji wa...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Wakali Sisi walivyokunja kitita cha mil 5 za Dance100% 2014
HATIMAYE kivumbi cha kuwania kitita cha shilingi mil 5 katika shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% chini ya uratibu wa EATV na kudhaminiwa na kampuni ya simu za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0125-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0126-1024x682.jpg)
………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
JB:Tukikutna Tena Nitaweka Mil 10, Ray Aweke Mil 3!
“Kijana shupavu mjukuu wa Kigosi, bado sijamuona. Habari njema aliweka million yake ili ale million mbili, biashara nzuri sana hii nimeshakula mil 2 zako.sasa nakupa offer. tukikutana safari hii weka milion tatu naweka milion kumi. Lazima nikuvutie maana nimeambiwa hutaki tena changamka hutaki kukomboa hela zako???”-JB abandika andiko hili mtandaoni baada ya kuweka picha ya Ray.
Ray bado ajapatikana kujibu hii. Dah kufungwa noma sana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-MeNb2aDJx1mXL4ZikKs1o92viq6sfxaybl886zDsmaamNICMyUDKeYcz4urDBIXyVEGr3tv8Hb-U3rArqu8DETPVGFxx3wS/maiamatha.jpg?width=650)
MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt6Nd**YA-B4eqKHS-ofD6Sz95iJDHj5JkDkTvNKG9QjjRPE8mBJeDh458e8m8YQhCohDS9UuW-TE493ieJOSHTk/mai.jpg?width=650)
MAIMARTHA ATIWA MBARONI