Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAIMARTHA AFUNGUKIA MAMBO YA CHUMBANI ZAIDI

Wiki hii kupitia safu hii tunaye Maimartha Jesse ‘Mai’ ambaye ni mtangazaji na mjasiriamali. Mwandishi wetu Hamida Hassan alimbana kwa maswali 10 mengi yakiwa yanahusu mambo ya chumbani zaidi, ungana naye… Mtangazaji na mjasiriamali Maimartha Jesse ‘Mai’. TQ: Ni chakula gani kizuri ambacho ukimpikia mumeo anasikia raha?
Mai: Mume wangu ni mpenzi sana wa wali samaki au ugali samaki, sambamba na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BATULI AANIKA MAMBO YA CHUMBANI

Stori: Laurent Samatta/Amani
STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefungukia mambo yake ya chumbani na kuanika kuwa anapenda kuvaa kufuli zenye rangi tofauti. Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’. Akizungumza na mwanahabari wetu, Batuli ambaye anaendelea kufanya vizuri Bongo Movies kila kukicha, alisema kama binadamu wengine na yeye linapofika suala la viwalo hivyo vya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mambo magumu zaidi

Tido Mhando kwenye simulizi zake hizi za kila wiki kwenye gazeti hili la Mwananchi Jumapili, anaelezea kwa muhtasari baadhi ya mambo kati ya mengi aliyokabiliana nayo kipindi kirefu alichofanya kazi ya utangazaji wa redio.

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YA SOKA LA BONGO HAYO YANI KI DIGITAL ZAIDI PITIA HII NA MEZA AU TEMA KWAHERI.

LISTI YA SIMBA VS MGAMBO...LISTI YA BARCELONA VS MAN CITY....Licha ya TFF kuingiza pesa nyingi kupitia mpira wa miguu hii ni haki kweli?

 

9 years ago

MillardAyo

Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video)

Tunasema asante kwa teknolojia kila siku kwa sababu ya vitu vizuri ambavyo tunakutana navyo vikikufikia na kurahisisha mambo mengi kwa sababu tu wataalam wamekaa na wamebuni kitu kizuri !! Unaambiwa ni suala la kukaa tayari wakati wowote kuanzia sasa tutakuwa na simu zenye uwezo wa kufanya scanning chakula na kutoa majibu kwamba kwenye chakula kuna […]

The post Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO

 

11 years ago

GPL

MAIMARTHA ATIWA MBARONI

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Mtangazaji maarufu wa Runinga Bongo, Maimartha Jesse amejikuta akiwekwa nyuma ya nondo kwa madai ya kumtapeli dada mmoja aliyetambulika kwa jina la Zai, mkazi wa Zanzibar. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, mtangazaji huyo alilipwa pesa ya kianzio cha shughuli ya u-MC visiwani humo mwezi mmoja uliopita lakini akashindwa kwenda bila sababu za msingi.
“Kifupi Maimartha alifanya...

 

11 years ago

GPL

MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU

Stori: Shakoor Jongo
MWANADADA mtangazaji na mjasiriamali, Maimartha Jesse anaonekana kuukaribisha upofu kufuatia kukithiri kutumia gundi katika kujipachika kope bandia. Maimartha Jesse. Kwa mujibu wa daktari wa Ijumaa, wanawake wanaobandika sana kope bandia wanajiweka kwenye hatari ya kupata upofu ambapo Mai ni miongoni mwao. Katika tukio la hivi karibuni mwanadada huyo alionekana akiwa amejibandika gundi katika harakati ya...

 

11 years ago

GPL

MATEJA WAMUAMISHA MAIMARTHA

Stori: Hamida Hassan
MTANGAZAJI maaraufu Bongo, Maimartha Jesse amelazimika kuhamisha duka lake lililokuwepo maeneo ya Manyanya-Kinondoni kukwepa vurugu za wabwia unga (mateja). Maimartha Jesse. Maimartha alichukua uamuzi huo mapema mwaka huu kufuatia kukerwa na mateja hao kwa muda mrefu katika duka lake la vipodozi hivyo akaona bora alihamishie maeneo ya Vijana, Kinondoni jijini Dar. “Mwenzagu walizidi sana kurandaranda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani