Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majiji 17 vitani Dar

Imani Makongoro,Mwananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA 16 YA MPIRA WA KIKAPU (BASKETBALL) KWA MAJIJI YA AFRIKA KANDA YA TANO KUFANYIKA DAR ES SALAAM MEI

Mashindano ya 16 ya Mpira wa Kikapu kwa Majiji ya Afrika Kanda ya Tano na Majiji alikwa kutoka Kanda zingine za Afrika yanatarajiwa kufanyika Jijini Dar es Salaam, Tanzania. Mashindano yatafanyika:- Mwezi wa Mei, Tarehe 6 hadi 11 Mwaka 2014.   Majiji yanayotarajiwa kushiriki ni Dar es Salaam (wenyeji), Mwanza, Mbeya, Arusha na Tanga kutoka Tanzania. Nairobi, Mombasa na Kisumu kutoka Kenya. Kampala na Mukomo kutoka Uganda.  Majiji mengine ni  Bujumbura – Burundi na Kigali-Rwanda. ...

 

11 years ago

Mwananchi

Timu za Majiji zapewa angalizo

Wakati timu zitakazoshiriki michuano ya kikapu ya Majiji Afrika Mashariki na Kati zikianza kuwasili jana, Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kamati ya Uendeshaji ya Majiji Afrika Kanda ya Tano, Mbaga Mwamboma, amezitaka timu za Tanzania kuhakikisha kombe la michuano hiyo linabaki nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mwanza ni chafu kuliko majiji yote’

Mwanza. Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imesema taarifa ya miradi ya maendeleo ya Jiji la Mwanza  ni mbaya kuliko za majiji mengine yote. Hivyo imetoa siku 90 kwa halmashauri hiyo kuandaa taarifa mpya na sahihi.

 

9 years ago

GPL

HEINEKEN YAZINDUA KAMPENI YA MAJIJI YA ULIMWENGU

                Warembo kutoka kampuni ya kinywaji cha Heineken wakiwa katika red carpet iliyokuwa imeandaliwa.                                 Warembo kutoka kampuni ya Heineken wakiwa kwenye pozi tofauti.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanza yajitoa mashindano ya Majiji kwa ukata

Wakati kivumbi cha michuano ya kikapu Afrika ya Kanda ya Tano kikitarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho jijini Dar es Salaam, timu ya Mwanza imejiondoa kwenye michuano hiyo kutokana na ukata.

 

10 years ago

Michuzi

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania ziarani nchini Finland

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania walioko katika ziara ya mafunzo nchini Finland wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Meya wa jiji la Helsinki,Hannu Pentila muda mfupi baada ya viongozi hao kutembelea mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Kalasatama katika jiji hilo la Helsinki.Ujumbe wa Mameya na Wakurugenzi kutoka majiji sita ya Tanzania ukitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa katika mji wa Kalasatama jijini Helsiniki nchini Finland.Lisa Tervo kushoto kutoka Taasisi...

 

9 years ago

Bongo5

Davido kusherehekea birthday yake ya 23 kwenye majiji manne ya nchi tofauti duniani

Davido ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa Nigeria wenye mafanikio makubwa licha ya kuwa pia anatoka kwenye familia tajiri. Mara nyingi Davido na wasanii wengine huwa wana-share na mashabiki wao kwenye mitandao ya kijamii jinsi wanavyozihangaikia noti usiku na mchana kwa kusafiri kufanya shows, kushoot videos n.k, na ndio sababu hua hawaoni tabu pia […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Halmashauri, Wilaya na Majiji yaagizwa kutenga bajeti ya kugharamia huduma za watu wenye Albinisim

IMG_6311

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2015, Juma Khatib Chum,akizindua mradi wa kilimo cha umwangiliaji cha vitunguu kijiji cha Nkungi wilaya ya Mkalama.Chum aliagiza vijana waache kukaa vijiweni na badala yake waelekeze nguvu zao katika shughuli mbalimbali zitakazowapatia kipato ikiwemo kilimo cha umwangiliaji.

IMG_6352

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Fadhili Nkurlu, akizungumza na wakazi wa kijiji cha Dominiki wakati mbio za mwenge wa uhuru.

IMG_6379

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru 2015, Juma...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA MAKATIBU TAWALA WAPYA MIKOA MITANO NA KUHAMISHA WENGINE WAKIWEMO WAKURUGENZI WA MAJIJI

TAARIFA KWA UMMA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumamosi, Januari 18, 2014,  amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wapya wa mikoa mitano na kuhamisha makatibu tawala wengine na Wakurugenzi wa Majiji nchini. Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue iliyotolewa jioni ya leo, Ikulu, Dar Es Salaam inasema kuwa uteuzi na uhamisho huo unaanza leo hii. Kwa mujibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani