Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu za Majiji zapewa angalizo

Wakati timu zitakazoshiriki michuano ya kikapu ya Majiji Afrika Mashariki na Kati zikianza kuwasili jana, Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kamati ya Uendeshaji ya Majiji Afrika Kanda ya Tano, Mbaga Mwamboma, amezitaka timu za Tanzania kuhakikisha kombe la michuano hiyo linabaki nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Majiji 17 vitani Dar

Imani Makongoro,Mwananchi

 

9 years ago

GPL

HEINEKEN YAZINDUA KAMPENI YA MAJIJI YA ULIMWENGU

                Warembo kutoka kampuni ya kinywaji cha Heineken wakiwa katika red carpet iliyokuwa imeandaliwa.                                 Warembo kutoka kampuni ya Heineken wakiwa kwenye pozi tofauti.…

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mwanza ni chafu kuliko majiji yote’

Mwanza. Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imesema taarifa ya miradi ya maendeleo ya Jiji la Mwanza  ni mbaya kuliko za majiji mengine yote. Hivyo imetoa siku 90 kwa halmashauri hiyo kuandaa taarifa mpya na sahihi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanza yajitoa mashindano ya Majiji kwa ukata

Wakati kivumbi cha michuano ya kikapu Afrika ya Kanda ya Tano kikitarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho jijini Dar es Salaam, timu ya Mwanza imejiondoa kwenye michuano hiyo kutokana na ukata.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taasisi za fedha zapewa somo

TAASISI za kifedha zinazojihusisha na utoaji wa mikopo kwa wajasiriamali nchini, zimetakiwa kuacha mfumo wa kuwakandamiza wanachama wake kwa riba kubwa, kwa madai kuwa  zinachangia kudumaza  shughuli za kiuchumi na...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam zapewa mchekea

Wawakilishi wa Tanzania, Yanga na Azam zimepangiwa timu zenye viwango tofauti mashindano hayo ya klabu Afrika mwakani.

 

9 years ago

Habarileo

Azaki zapewa mwongozo kiutendaji

ASASI za Kiraia (Azaki) zinazojishughulisha na kuhamasisha utoaji elimu wa masuala mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, zimeshauriwa zinapotaka kufanya shughuli zao waonane kwanza na wakuu wa idara husika.

 

10 years ago

Michuzi

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania ziarani nchini Finland

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania walioko katika ziara ya mafunzo nchini Finland wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Meya wa jiji la Helsinki,Hannu Pentila muda mfupi baada ya viongozi hao kutembelea mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Kalasatama katika jiji hilo la Helsinki.Ujumbe wa Mameya na Wakurugenzi kutoka majiji sita ya Tanzania ukitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa katika mji wa Kalasatama jijini Helsiniki nchini Finland.Lisa Tervo kushoto kutoka Taasisi...

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga, Azam zapewa mtihani Afrika

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) Azam FC wamepangwa kucheza dhidi ya El Merrikh ya Sudan katika Ligi ya Klabu Bingwa Afrika mwakani huku Yanga wakipewa timu ya BDF XI ya Botswana katika michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao rasmi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) jana, droo ya michuano ya 19 ya Klabu Bingwa Afrika mwakani na michuano ya 12 ya Kombe la Shirikisho barani ilichezeshwa kwenye makao makuu ya CAF jijini Cairo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani