Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HEINEKEN YAZINDUA KAMPENI YA MAJIJI YA ULIMWENGU

                Warembo kutoka kampuni ya kinywaji cha Heineken wakiwa katika red carpet iliyokuwa imeandaliwa.                                 Warembo kutoka kampuni ya Heineken wakiwa kwenye pozi tofauti.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

HEINEKEN YAZINDUA MICHUANO YA FOOSBALL KWA MARA NYINGINE TENA HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Heineken Tanzania Bw. Uche Unigwe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mchezo wa foosball katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia kwake wamesimama washindi kutoka michuano ya mwaka jana waliopata nafasi ya kwenda Amsterdam.

 

11 years ago

Mwananchi

Benki yazindua kampeni ufanisi

Benki ya Exim imezindua kampeni maalumu maarufu kama Power of Service, inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan utoaji huduma.

 

9 years ago

Michuzi

HUAWEI YAZINDUA KAMPENI YA “JIEKOTISHE”

Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Samson Majwala (katikati) na akionyesha Mkuu wa Bidhaa za Rejareja, Sylvester Manyara wakionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) simu zilizoingia kwenye kampeni maalum ya Msimu wa Sikukuu ijulikanayo kama “Jiekotishe na Huawei”, wakati wa uzinduzi wake uliofanyika leo Jijini Dar es salaam. Kulia Meneja Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Lyidia Wangari.Meneja Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Lyidia Wangari,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NMB yazindua kampeni ya Jihudumie

BENKI ya NMB imezindua kampeni ya Jihudumie yenye lengo la kumwezesha mteja kupata huduma kirahisi kwa kujihudumia mahali alipo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa huduma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Exim yazindua kampeni kuongeza ufanisi

BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan katika suala la utoaji wa huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa...

 

10 years ago

Habarileo

SBL yazindua kampeni kufikia malengo

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kampeni itakayotoa elimu kwa Watanzania ili kusaidia kufikia malengo yaliyo bora kwa manufaa ya kila mmoja na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL yazindua kampeni ya ‘Fanya Kweli’

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager, imezindua kampeni mpya inayojulikana kwa jina la ‘Fanya Kweli’ ambayo itasaidia kujenga maisha ya mtu mmoja na Tanzania...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kagera yazindua kampeni ya kuimarisha Chama


NA  ANGELA SEBASTIAN, BUKOBA.
CHAMA  Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa, kimezindua rasmi kampeni ya kuimarisha Chama ili kujiweka sawa na kujihakikishia ushindi wa kishindo katika uchaguzi ujao.
Uzinduzi wa kampeni hizo uliofanyika jana, katika kata za Ruhunga na Kyaitoke wilayani Bukoba vijijini, ulikwenda sambamba na ugawaji wa vifaa kama bendera, milingoti na kamba ikiwa ni hatua mojawapo ya kufufua kazi za mabalozi.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya  CCM...

 

11 years ago

Michuzi

NMB YAZINDUA KAMPENI MPYA YA JIHUDUMIE

Benki ya NMB imezindua kampeni mpya ya Jihudumie yenye lengo la kuwezesha upatikanaji wa haraka wa huduma mbalimbali za benki hiyo. Akizindua kampeni hiyo jijini Dar es Salaam Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bw. Mark Wiessing alisema mbali ya upatikanaji wa huduma haraka, kampeni hiyo itawezesha huduma kupatikana muda wowote na mahali popote.
Sasa wateja wa NMB wanaweza kupata huduma bila kwenda katika tawi la NMB. “Tunapenda kuwafahamisha wateja wetu kwamba sasa wanaweza kupata huduma za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani