Makamba kuwasaidia walemavu
Naibu Waziri wa Wizara Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameahidi kuwapa mitaji ya kuendeleza biashara zao wajasiriamali walemavu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Serikali ijenge mazingira rafiki kwa majengo yote ya kusomea ili kuwasaidia walemavu — TASI
Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini, TASI, Ziada Msembo (kulia) akimkabidhi mwalimu wa wanafunzi walemavu wakiwakiwemo Albino shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali vitabu vya sheria zinazowahusu walemavu.
Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) nchini, Ziada Msembo akimkabidhi losheni ya kujikinga na miale ya jua mwanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko.
Katibu wa chama cha watu wenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Kanisa kuwasaidia waumini kiuchumi
10 years ago
Habarileo15 Mar
Madini wafikiria kuwasaidia Mirerani
WIZARA ya Nishati na Madini inaangalia uwezekano wa kuwafidia wamiliki wa wachimbaji wadogo wa machimbo ya madini ya tanzanite yaliyoko Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara baada ya kuunguliwa kwa kambi zao 16 ya uchimbaji wa madini hayo.
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Teknolojia kuwasaidia marefarii Brazil
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMmMMHKPTpk8SLODXLmled6kmf22MKoKdz4I*CVp8TQS3ujM4KLAvHW1QKGIKiFbvJWSuIsdfHrylR9YeHR6hGl4/1001.jpg)
NISHA AZIDI KUWASAIDIA WASIOJIWEZA
11 years ago
Tanzania Daima14 May
‘Hatuwezi kuwasaidia Pugu Kinyamwezi’
OFISA Uhusiano wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Gaston Makwembe amesema hawana namna ya kuwasaidia wakazi wa karibu na dampo la Pugu Kinyamwezi. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
BAVICHA kuwasaidia waendesha bodaboda
BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeahidi kuwasaidia waendesha bodaboda waliozuiwa kufanya shughuli zao katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Wiki chache zilizopita, Serikali ya...