Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makazi, mazao, barabara zaathirika

Mvua kubwa zilizonyesha kwa muda wa siku tatu mfululizo mkoani Morogoro, zimeathiri kwa kiwango kikubwa makazi ya watu, miundombinu ya barabara na mazao ya mashambani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kimbunga chavuruga makazi, barabara

Upepo mkali uliovuma mithili ya kimbunga, umeezua mapaa ya nyumba zipatazo 200 katika Mikoa ya Morogoro na Kilimanjaro na kusababisha mamia ya familia, kokosa mahali pa kuishi.

 

11 years ago

Michuzi

WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi ameitaka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Dodoma kuhakikisha inatafuta suluhisho la haraka la changamoto ya maghala na mifumo ya kuhifadhia mazao inayoikabili taasisi hiyo wakati huu wa msimu wa kununua mazao.
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji

Mamilioni ya raia wa Nigeria wanaishi katika maisha duni kupita kiasi.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

10 years ago

Michuzi

wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali

 Wananchi wakiwa wamepanga mawe na miti kuziba barabara ya Bagamoyo Road maeneo ya Kawe Bondeni jijini Dar es salaam leo ili kushinikiza kuwekewa matuta ya barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo. Hadi tunaruka hewani Jeshi la Polisi lilikuwa limeshawatawanya wananchi hao na kuondoa vizuizi hivyo baada ya kusababisha foleni ya takriban saa moja hivi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Marufuku kuchumbia mazao’

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amepiga marufuku mtindo wa kuchumbia mazao shambani akisema kufanya hivyo ni kumnyima mkulima kipato anachostahili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kutonunua mazao yote

SERIKALI imesema haina mpango wa kununua mazao yote yanayozalishwa na wakulima, bali wanaweza kutafuta masoko yao wenyewe. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika,...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Epukeni uzalishaji wa mazao sumu’

Wakulima nchini wametakiwa kuepuka kuzalisha mazao yenye sumu asili inayoweza kuathiri afya ya walaji.

 

9 years ago

Michuzi

UHIFADHI WA MISITU NA UZALISHAJI WA MAZAO

Kuimarika kwa uhifadhi wa misitu katika misitu ya tao la Mashariki iliyoko kwenye milima ya Usambara kumesaidia kuboresha shughuli za kijamii kwa wananchi wanaoishi kwenye vijiji kuzunguka misitu hiyo katika wilaya ya Muheza na Korogwe mkoani Tanga, mashamba haya ya mpunga ni katika kijiji cha Mkwakwani kata ya Mnyuzi wilaya ya Korogwe yamestawi vizuri kutokana na juhudi hizo za uhifadhi wa misitu, zinazofanywa na wadau mbalimbali wa uhifadhi ikiwemo wakala wa huduma za misitu nchini TFS na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani