Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makongoro: CCM imehamishia uchafu Ukawa

HATUA ya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukimbilia Chama cha Demokrasia na Maend

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Makongoro fears CCM will pick a ‘corrupt’ candidate

“I doubt whether it will be a free and fair process because rules are being broken left, right and centre,” Mwalimu Nyerere’s son said at the family home in Msasani.     

 

10 years ago

TheCitizen

Makongoro: I’ll reunite CCM, rid Tanzania of rampant graft

Butiama. Mr Charles Makongoro Nyerere, son of Mwalimu Nyerere, yesterday joined field that is getting increasingly crowded with aspirants eying the CCM ticket for the presidency, declaring himself the best-placed person to hold the party together and uproot corruption in the country.

 

10 years ago

Mwananchi

Makongoro: Naomba kibali niiokoe CCM dhidi ya rushwa

>Mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Charles Makongoro, ametangaza nia ya kuwania urais, akisema anaomba kibali kuisaidia CCM iache rushwa, kuparaganyika na atakapoingia madarakani, ili asiwaangushe Watanzania, anahitaji chama imara kisicho na shaka kama ilivyo sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Makongoro aonya visasi, ununuzi wa vikao vya maamuzi CCM

Makongoro Nyerere.MGOMBEA nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, Makongoro Nyerere, amekitaka chama chake kuwatowaonea aibu wagombea wote waliokiuka kanuni za kuwania nafasi ya urais pamoja na wenye tuhuma za ufisadi na kuwaengua katika mchakato wa kugombea urais.

 

10 years ago

GPL

MAKONGORO NYERERE ATANGAZA NIA, ASEMA ATAIOKOA CCM NA RUSHWA

Makongoro Nyerere wakati wa zoezi la kutangaza nia jana. Makongoro Nyerere baada ya kuvishwa vazi aina ya mgolole. Makongoro akifanyiwa maombi wakati wa…

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI CCM 2015: Makongoro Nyerere: Mbunge wa Afrika Mashariki

>Makongoro Nyerere ni mtoto wa tatu wa Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kwa sasa ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala).

 

10 years ago

Vijimambo

Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama


Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...

 

10 years ago

Vijimambo

VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!

Naibu Waziri wa Kazi Mh. MahangaMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida ambaye ni Mbunge wa zamani wa Iramba Mashariki Ndg.Mgana Msindai ametangaza kujiuzulu wadhifa wake, kujiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA. Msindai ni miongoni mwa wafuasi "watiifu" wa Mhe.Edward Lowassa. Inadaiwa wapo wenyeviti 15 wa CCM mikoa mbalimbali watajiunga na CHADEMA, baada ya Msindai kufungua njia.Mbunge wa Arumeru CCM Olemedeyi

 

11 years ago

Habarileo

CCM waivimbia Ukawa

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushawishi viongozi wa Serikali au viongozi wa kitaifa, wawalazimishe au wawabembeleze wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani